Recent content by eity 4

  1. E

    MSAADA SHERIA ZA BARAZA LA MICHEZO

    Ndugu zangu naomba mwenye sheria za baraza la michezo anisaidie. Namaanisha zinazotumika kusajili na kuendesha vyama vya michezo
  2. E

    Serikalini; Utaratibu wa Ujenzi kwa Kutumia Force Account hauna Ufanisi ,turudi kutumia Wakandarasi

    Acha wivu wewe umetumwa na wakandarasi wenye makampuni wanaokosa kazi baada ya force account kuja. Mi ninesoma maelezo yako yote na yote siyo ya kweli. Mfano; Umesema miradi kuwa chini ya kiwango, kwenye force account fundi anaetekeleza mradi lazima awe amepita veta na anasimamiwa na ma...
  3. E

    Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

    Hakuna Bendi maarufu ya Taarab ambayo Thabit hajapiga kinanda
  4. E

    Waziri Mkuu Majaliwa, pokea makadirio yangu kibanda cha VETA Tabora

    Lakin Lakini kitu ambacho umetudanganya kingine umesema kupiga branderling ni m2 25 na kufunga gipsum board ni m2 25. Kwa wasiojua m2 ni square MITA yaani Upana mara urefu Kwa jinsi umbo la kinanda lilivyo. Sasa jamaa ana maanisha hicho kibanda kina urefu MITA 5 na Upana MITA 5 ndani Kwa...
  5. E

    Waziri Mkuu Majaliwa, pokea makadirio yangu kibanda cha VETA Tabora

    Kitu ambacho watu hawaelewi hapo ni kwamba mkandarasi vifaa kanunua mwenyewe na kivisafirisha, lakini pamoja na hayo bado amelipa Kodi Vat 18% na kabla ya kupata hiyo kazi kina gharama za kuipata, stationary nauli nk, japo bei bado imechangamka. Kwa hesabu zangu ni milioni 8.7. Mimi ni...
  6. E

    Toyota hizi...!

    Brevis ni stable kuliko crown Mzee. Achaa ubishi. Ajali za brevis ni chache kuliko za crown
  7. E

    Kwanini Mwanza Wanauza magari bei rahisi kuliko Dar es Salaam?

    Tangu nimenunua gari hili mwanza halijawahi kunisumbua Kwa lolote ni mwaka wa pili Sasa. Ni hii juzijuzi nilipotuma hiyo thread kutafuta msaada na ishu ilikuwa ndogo tu, plug moja ilikuwa haichomi. Nimebadili plug na chombo imetembea Sumbawanga dar bila shida. Kwanza magari yenu ya Dar mabodi...
  8. E

    Tatizo la gari hili linaweza kuwa nini?

    We subiri nijichangechange ning'oe la watasha tutaelewana
  9. E

    Tatizo la gari hili linaweza kuwa nini?

    Nina gari langu Toyota Brevis, nilikuwa naendesha, speed kama 120km/h lipo vizuri tu. Ghafla naona nguvu imepungua, na ukisimama engine inatikisika mpaka ukiwa ndani unahisi huo mtikisiko. Linaunguruma ni kama Lina miss ila halizimi. Na pia limekula MAFUTA mengi mno tofauti na kawaida yake...
  10. E

    Kwanini Mwanza Wanauza magari bei rahisi kuliko Dar es Salaam?

    Uongo ni mazuri. Mi nilinunua langu huko na Nina miaka miwili wala halina shida youote
  11. E

    Kwanini Mwanza Wanauza magari bei rahisi kuliko Dar es Salaam?

    Magari ya mwanza ndiyo habari ya mjini. Mi nilinunua Brevis yangu huko, namba DNS, Lipo poa na Bomba kabisa.
  12. E

    Kwanini crown royal saloon na sio crown athlete?

    Nimepitia pitia akaunti mbalimbali za mitandao mingi inayouza magari ya mkononi, jambo ambalo sijaelewa ni kwamba magari mengi ya aina ya Crown yanayouzwa ni Yale CROWN ROYAL SALOON. Siyaoni sana CROWN ATHLETE sababu ni nini?
Back
Top Bottom