Nasisitiza kesho saa 4 tuna jambo letu humu.
Kanji ana acha ndala, natarajia.kupeleka.msiba mzito sana kwake siku ya kesho.
Mkeka utakuwa wa team 15
Odds 600
Team 20
Odds 1000
Teams 30
Odds 20K
Teams 50
Ovaflow.
Msikose kesho saa 4.
Kesho tunaweka heshima humu jukwaani.
Jf itahamia humu...
Kesho saa 4 ahsubuhi wakamaria wa humu tuna kikao.
Kuna dalili kanji akapigwa kesho.
Lost ya odd 200+.
Team zilizo chana ni zilizotoa sare ya 0,0 hii opt ina hela wazee.
Nataka kesho tukae seneti tuchambuee kwa kupiga msasa wa kwenda shulee
Kuna kila dalili kesho tukapeleka kilio kwa kanji.
Leo nilikuwa na test hii opt ila ina work.
Kama ningekuwa limbukeni wa odds 2 au 10 wote mashahidi nini ningepata
Na ndiyo alikuwa anasubiriwa nifanye tafrija ya laki laki humu daah teni la team 50 limehitimishwa kizembe na liva kuku.
Hii opt mbona haina cashoit kwanini??
Niliicheza j3 mechi 50.
Leo zimesalia 5.
Juzi nilipita x nikaona mtu kaomba kama mm mkeka ukawa lost, ndo nataka nijue.
Mechi imeisha kwa goli 5 jumla.
Na team yake ime score goli 2.
How comes iwe lost?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.