Mimi niliacha ku post kule kwenye uzi wa mikeka kwa issue hizi hizi.
Hatukatai kuna kukwama,ila kuna changamoto mtu ana ids 3 zote anaomba pesa, halafu bora awe smart sms inaweza kuwa tofauti ya kuomba ila namba ya kupokea hela ikawa moja.
Au namba inaweza kuwa tofauti ila jina likawa 1 baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.