Kumbe naongea na mtu ambaye historia ya uhamsho na kanisa haifahamu.
sitokuelewesha tena maana hutaki.kueleweshwa
kanisa la TAG limepitia kwenye mikono ya maaskofu wakuu wa 3 tu mpaka sasa toka mwaka 1967
1)Askofu Lazaro
2)Askofu mwenisongole
3)Askofu mtokambali
kulola hajawahi kuwa askofu...
Labda nikuambie.
kulola hajawahi.kuwa askofu mkuu wa TAG kuanzia hapo tu,inaonesha hujuhi kitu.
Hebu katafiti tena na urudie vyanzo vyako kabla hujaleta upotoshaji..
Askofu mkuu alikuwa Lazaro.
ni wapi kulola alikuwa askofu mkuu?
Huogopi kusema uongo?
unaweza kutupa chanzo cha hiyo taarifa/story yako?
mbona imejaa upotoshaji?
Kulola hakuwahi kugombea wala kuutaka u askofu mkuu.
nadhani vuguvugu la TAG Vs EAGT huna taarifa zake sahihi, kwa hilo kubali.
Trust me.
Tatizo lipo kwa mwanaume hapo.
Mwanaume atakuwa ni shoga aka mchicha mwiba.
Ndoa za dizaini hiyo zinaishiaga hivyo,kimya kimya kwa kufichiana aibu
Saa 5 ya kibongo mkuu.
Game za kesho ni
Burkina Faso na Mauritania
Hii saa 11 jioni.
Game ya saa
2
Itakuwa
Tunisia na Namibia.
Game ya Starz itakuwa
Saa 5 ambayo ndiyo ya mwisho kwa kesho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.