Recent content by Einsteini

  1. E

    Wataalam wa kutengeneza Local Cage za Kuku wa mayai

    0694438300 MCheki jamaa yupo vizuri
  2. E

    Kwa kanisa la TAG linalojifia kila siku, kuna hazina chache sana zinapotea zikilia juu ya kanisa

    Kumbe naongea na mtu ambaye historia ya uhamsho na kanisa haifahamu. sitokuelewesha tena maana hutaki.kueleweshwa kanisa la TAG limepitia kwenye mikono ya maaskofu wakuu wa 3 tu mpaka sasa toka mwaka 1967 1)Askofu Lazaro 2)Askofu mwenisongole 3)Askofu mtokambali kulola hajawahi kuwa askofu...
  3. E

    Kwa kanisa la TAG linalojifia kila siku, kuna hazina chache sana zinapotea zikilia juu ya kanisa

    Labda nikuambie. kulola hajawahi.kuwa askofu mkuu wa TAG kuanzia hapo tu,inaonesha hujuhi kitu. Hebu katafiti tena na urudie vyanzo vyako kabla hujaleta upotoshaji.. Askofu mkuu alikuwa Lazaro. ni wapi kulola alikuwa askofu mkuu?
  4. E

    Kwa kanisa la TAG linalojifia kila siku, kuna hazina chache sana zinapotea zikilia juu ya kanisa

    Huogopi kusema uongo? unaweza kutupa chanzo cha hiyo taarifa/story yako? mbona imejaa upotoshaji? Kulola hakuwahi kugombea wala kuutaka u askofu mkuu. nadhani vuguvugu la TAG Vs EAGT huna taarifa zake sahihi, kwa hilo kubali.
  5. E

    FT: Tanzania 1-1 Zambia | AFCON 2024| Laurent Pokou Stadium | 21.01.2024

    Hamna leo, samatta anafunguka aendelee kubaki
  6. E

    Ndoa ya rafiki yangu imedumu miezi miwili tu! -kweli ndoa ni mtihani?

    Trust me. Tatizo lipo kwa mwanaume hapo. Mwanaume atakuwa ni shoga aka mchicha mwiba. Ndoa za dizaini hiyo zinaishiaga hivyo,kimya kimya kwa kufichiana aibu
  7. E

    Marefa na mashindano ya AFCON 2024.

    Kwahiyo kauli ya amroch ni sahihi?
  8. E

    2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

    Saa 5 ya kibongo mkuu. Game za kesho ni Burkina Faso na Mauritania Hii saa 11 jioni. Game ya saa 2 Itakuwa Tunisia na Namibia. Game ya Starz itakuwa Saa 5 ambayo ndiyo ya mwisho kwa kesho
Back
Top Bottom