Recent content by Einsteini

  1. E

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nasisitiza kesho saa 4 tuna jambo letu humu. Kanji ana acha ndala, natarajia.kupeleka.msiba mzito sana kwake siku ya kesho. Mkeka utakuwa wa team 15 Odds 600 Team 20 Odds 1000 Teams 30 Odds 20K Teams 50 Ovaflow. Msikose kesho saa 4. Kesho tunaweka heshima humu jukwaani. Jf itahamia humu...
  2. E

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Odd 650+ Cut team 2 tena Kwa ile.ile opt. Kesho kuna kila dalili kanji akaacha ndalaa Saa 4 tukutane wakamaria
  3. E

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kesho saa 4 ahsubuhi wakamaria wa humu tuna kikao. Kuna dalili kanji akapigwa kesho. Lost ya odd 200+. Team zilizo chana ni zilizotoa sare ya 0,0 hii opt ina hela wazee. Nataka kesho tukae seneti tuchambuee kwa kupiga msasa wa kwenda shulee
  4. E

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kuna kila dalili kesho tukapeleka kilio kwa kanji. Leo nilikuwa na test hii opt ila ina work. Kama ningekuwa limbukeni wa odds 2 au 10 wote mashahidi nini ningepata
  5. E

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Daah odds 350+ Wakuu opt rahisi kwa sasa ni hii assist. Naomba kesho tuhitishe kikao cha dharura tuichambue hii opt. Ikifika saa 4 ahsubuhi
  6. E

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ngoja nisuke nikupe inbox odds 5 Na odds 10 chap asa hivi
  7. E

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sema hii opt tamu kinomaaa
  8. E

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mwambaaa sometime uwe unasuka na ww. Ukue kushare code simetimes unakaribishwa lost zisizo na maaana mtu unaamua ku mute
  9. E

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Na ndiyo alikuwa anasubiriwa nifanye tafrija ya laki laki humu daah teni la team 50 limehitimishwa kizembe na liva kuku. Hii opt mbona haina cashoit kwanini??
  10. E

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Daah live kuku weweeeee
  11. E

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hela ya muhindi ngumu. Mechi ina goli 5 halafu hakuna assist hata 1???? Oyaaa hii kazi ngumu😅😅😅, Nakusoma mkuu
  12. E

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nilicheza bila kujua nacheza nini. Nataka kueleweshwa ukiangalia hapo juu naye alicheza kama.mm na mechi illisha 2:3 mkeka ukawa.lost
  13. E

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Niliicheza j3 mechi 50. Leo zimesalia 5. Juzi nilipita x nikaona mtu kaomba kama mm mkeka ukawa lost, ndo nataka nijue. Mechi imeisha kwa goli 5 jumla. Na team yake ime score goli 2. How comes iwe lost?
  14. E

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Oyaa hili jamvi halionekani vzr
  15. E

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hili tuseme ni JAMVII
Back
Top Bottom