Kama una date na binti wa umri wa kuanzia miaka *23* kuendelea na hauna mpango wa kumuoa fanya jambo la *kiungwanana* kumuambia ukweli.
Sikuambii umwambie kuwa humtaki na hutaki kuoa bali mwambie kuwa wewe si muoaji na unaona kama utampotezea muda wake bure na kuja kumuumiza.
Ongea kiungwana na...
Mm nadhani anaogopa kukuweka wazi.
Kwasababu zifuatazo:
1.anaamini kuwa huko uliko unawezakuwa na mpenzi mwingine hivyo ni kama unamchora tu.
2.maisha yake yanategemea elimu hivyo hana vitrga uchumi na hajui wap aanzie kuweka mipango
3. Mapenzi ni hisia za ndani kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa...
Kumshirikisha wazazi ni jambo sahihi ila ikitokea wakakataa na ili hali ushafanyanae mambo mengi ikiwemo na zinaa. Huwa unakuwa mtihani mkubwa sana kwa sababu ulimwamini na alikuamini japo kuna kasoro unaweza kuwa unaziona ukadhani ni ndogo ila wazazi wakaziona zina mashiko katika maisha ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.