Habari wanajf, Nina Bachelor of Arts in library and Information studies.Nipo dar.Natafuta kazi ya library au yeyote inayoendana na course yangu.asanteni.
Habari wanaJF.
Mimi ni mfanyakazi wa serikali nahitaji mkopo kutoka kwa mtu binafsi anayekopesha kwa riba.Sihitaji pesa nyingi sana.
Kwa yeyote mwenye taarifa naomba anipm.Nina shida msaada jamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.