Recent content by EFS

  1. E

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Lakini ktk vitabu vyote vya dini vimekuwa vikisisitiza kutenda mema ndio maana naamini vimebeba pumzi ya roho mtakatifu na ndio maana wengi wanaolimnini neno lililopo katika bibilia wanakuwa ni watu Wema, hata hizi sayansi si zimekuja hapo juzi tu lakini kabda ya hizo sisi waafrika tulikuwa na...
  2. E

    Nafikiri Biblia na Qur'an ni project zilizofanywa na wanadamu - Prove me wrong!

    Ukimchunguza sana bata huwezi kumla, mm naona hapa duniani tunaishi kwa imani tu, coz toka umeanza kuwa na akili umeanza kuambiwa kitu kimoja kimoja na umeamini mfano wanakuambia huyu ni mama unaamini, huyu ni baba unaamini na hiyo imani inazidi kuweka...
  3. E

    Nataka kumpeleka mke wangu chuo lakini roho inasita

    Huyo co mchumba ni mke mke anasomeshwa vizuri tu kusomesha mchumba ndio changamoto
  4. E

    TANZIA: Mwenzetu Heaven Sent kafiwa na baba yake mzazi mchana wa leo

    Poleni wafiwa wote Mungu awape wepesi
  5. E

    Kiwanja kinauzwa

    Not surveyed
  6. E

    Kiwanja kinauzwa

    Kiwanja kinauzwa Dodoma maeneo ya Msalato kina ukubwa wa 20 kwa 45 husuma zote muhimu kama umeme, maji na usafiri zinapatikana being sh mil 2.5
  7. E

    Kiwanja kinauzwa

    Habari zenu wadau, poleni na majukumu, kiwanja kinauzwa mkoani Dodoma maeneo ya Msalato, kina ukubwa wa 20 kwa 45, huduma zote muhimu kama umeme, maji, usafiri zinapatikana kwa urahisi kabisa, hakijapimwa being ni sh. 3,000,000 tu, karibuni sana
  8. E

    Gharama za ujenzi wa nyumba vyumba vitatu(3)

    Jamani kila mtu anagharama zake za ujenzi kulingana na nn anataka no quality ipi ya nyumba anayotaka, materials zipi anataka kutumia mfano mtu anaweza kupaua nyumba yenye vyumba 3 kwa mil 7 na nyumba hiyo hiyo mwingine anapaua kwa mil 2 na chenji inabaki
  9. E

    Chekeleeni ya Magufuli, yatakujieni ya Hitler

    Mimi binafsi naelewa dictatorship ni uongozi wa kimabavu mabavu, lakini kwa jinsi ninavyoona uongozi wa JPM co wa kimabavu ni wa ushirikiano, yaani uongozi shirikishi au tunaweza sema participatory leadership. Ila hakuna binadamu aliyekamilika ila kwa upande wa mheshimiwa Magu anafanya vizuri...
  10. E

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    mzee hajasoma uchumi, likini anaeconomise with optimum utility, hapana chezea JPM, ni noumaaaa!
  11. E

    "Bibi Nisamehe...Najuta"

    ukishindwa kuamua, utaamuliwa, ulishindwa kuamua ukamuliwa hg na huo ndo msamaha wake
  12. E

    Watanzania tunamsifia Magufuli kwa kuvamia maofisini?

    It is too early to judge, na kwanini uanze na kujudge negatively wakati dr. JPM amefanya vitu vizuri? siku njema huanza asubuhi, dalili ya mvua ni mawingu, siamini kama JPM anaweza kubadilika yeye ni constanly constant, kazi kazi kazi tu, kazi na JPM ni complimentary
  13. E

    Watanzania tunamsifia Magufuli kwa kuvamia maofisini?

    It is too early to judge, na kwanini uanze na kujudge negatively wakati dr. JPM amefanya vitu vizuri? siku njema huanza asubuhi, dalili ya mvua ni mawingu, siamini kama JPM anaweza kubadilika yeye ni constanly constant, kazi kazi kazi tu, kazi na JPM ni complimentary
  14. E

    Kuna kitu nimegundua, wanaume wanaishi kwa amani kuliko wanawake

    Ukitaka kujua kuwa wanawake ni watu wenye nguvu na wanaweza fuatilia hapa, Ester, Debora, yule mwanamke aliyemshinda Samsoni pamoja na kuwa na nguvu nyingi nk. Lakini mwanamke ataonekana kuwa dhaifu na kuonekana hana thamani kama asiposimama katika nafasi yake, ila akusimama katika nafasi yake...
Back
Top Bottom