Recent content by EEM M

  1. EEM M

    GE2025 INEC, NIDA wamkana Polepole

    Uzuri kila mtu ana akili. Ni maamuzi yako kuzitumia au laa
  2. EEM M

    GE2025 Sababu za wanaompinga Dkt. Samia

    Huu udaktari kautoa wapi? UNGESE TU na kujipendekeza. Kawaulize kule kijijini kwenu amewafanyia nn
  3. EEM M

    GE2025 Lissu hapiganii Watanzania anapigania maslahi yake

    BAO lililokuzaa ww bora Mshua wako angepiga TONYE
  4. EEM M

    Kauli za Rais Samia zilizokosa uzalendo

    Wenzangu mnapataga wap mda wa kumsikiliza?... M nikisikiaga saut yake t nazima Tv. Ungese ty
  5. EEM M

    Kikundi cha Watekaji Je, Ndiyo Hawa Hapa?.

    Mkuu unatumia akili??... Ulitaka ushirikiano gani?... Si alishasema alipelekwa karakana ya Ostabey na kisha kupelekwa Chuga na kote alikuwa anahifadhiwa vituo vya polisi? Sasa hapo unataka afanye nn?... Arud kwa wale wale polisi akawaoneshe eneo lao ambapo walikuwa wamemficha? Em tutolee...
  6. EEM M

    Kikundi cha Watekaji Je, Ndiyo Hawa Hapa?.

    Achana na wangu toa w unachokiamini. We mbn husemi unachokiamin?? Kama huelew nn unaamin basi ufyate Mkuu.
  7. EEM M

    Kikundi cha Watekaji Je, Ndiyo Hawa Hapa?.

    Mambo ya kingese tu Bro. Wanatuona sisi hatuna akili
  8. EEM M

    Hivi raisi samia anaweza kuwekewa mdaharo na watu baki?.Tukisema tumewekee Lissu tutakuwa tuna muonea

    CCM nzima hakuna mtu anaweza simama na Lissu kwenye mdahalo. Lissu ukiacha uvyama wake ana akili mno kitu ambacho CCM hakuna anayemiliki. Tena SSH kiukweli ndo hawezi kabisaaaa kusimama na Lissu kwenye mdahalo. Huu ni ukweli Mchungu.
  9. EEM M

    Kikundi cha Watekaji Je, Ndiyo Hawa Hapa?.

    Kwahiyo nn maoni yako hapo? Tutakuelewa nn wakati hujasema unachokiamini?
  10. EEM M

    Kikundi cha Watekaji Je, Ndiyo Hawa Hapa?.

    Alafu mtu bado anawaamin Polisi? Wa mchana Mzee Kibao hawajaweza sembuse Mdude alochukuliwa usiku?? Wanatuona sisi hatuna akili
  11. EEM M

    Kikundi cha Watekaji Je, Ndiyo Hawa Hapa?.

    Sativa hatoi ushirikiano? Si kila siku anamtaja Mafwele kule X na mpk sasa kila mtu anamfaham Mafwele. Sativa amehojiwa mara kibao tang akiwa hospitar kule Katavi, Aga Khan na mpk leo anamtaja aliyemteka. Polisi wamefanya nn mpk sasa??
  12. EEM M

    Kikundi cha Watekaji Je, Ndiyo Hawa Hapa?.

    Kama bado unawaamini Polisi basi una matatizo ya akili. Wameshindwa kuwakamata walomchukua mzee Kibao mchana kweupe kweny bus waje kuweza ya Mdude alochukuliwa usiku?? Polisi ndo watuhumiwa wa kwanza kabisa. Tatizo wanatuona sisi hatuna akili qmmk zao.
  13. EEM M

    Ole wako ukioa! Biblia Takatifu imesema yote

    Mkuu tumia akili kufikiria. Hayo matako n ya kukalia mbn unayatumia tena kufikiria??
  14. EEM M

    Mliotoboa Law School Mlifanyaje Wenzangu?

    Mchungaji wa Mungu Zakaria Maseke njoo usaidie hapa kutoa ushauri.
Back
Top Bottom