Recent content by edwin kweyamba

  1. edwin kweyamba

    TUCTA yamvaa Makonda kwa udhalilishaji wa Wafanyakazi

    Katiba inamruhusu mkuu wa wilaya kumuweka ndani MTU yeyote kwa SAA 24. NA utumia ubovu huo wa katba kunyanyasa wapinzani?
  2. edwin kweyamba

    TUCTA yamvaa Makonda kwa udhalilishaji wa Wafanyakazi

    Kosa nila katiba siyo makonda tukta hawajielewi
  3. edwin kweyamba

    Lowassa aiteka CHADEMA

    Enyi ccm msio NA akili ni nani aliyewaroga? Msitwambie sumaye NA lowassa ni wezi wakati mnauwezo wa kuwashitaki mnao mnatupostia uj umbe Kwenye mtandao cc tufanye nn wakati serikali mnaongoza nyie?acheni ulegelege.mkiwakamata mm Nitawapigia kura.
  4. edwin kweyamba

    Lowassa aiteka CHADEMA

    Kwetufamilia inawatu zaidi ya 50 kura zote ukawa.hapa KAZI tu NA UMEME hakuna??? Huku kwetu KAZI hakuna tumelala.hapa Giza tu!
  5. edwin kweyamba

    Serikali inayoongozwa kiujanja ujanja na uongo haina la kujivunia ikiwa umeme umeshindikana

    Mbunge mmoja alisema ikiwa watanzania wataichaguwa tena ccm na kuirudisha madarakani mwaka huu wakapimwe uwezo wao wa Kufikiri.mm KAZI zangu nategemea umm zimekwama kabisa alafu niwachague? Tume haidiwa viwanda kila kona UMEME hakuna je vitatumia power bank kuzalisha?
  6. edwin kweyamba

    Kippi Warioba jiheshimu

    Huyo boya msimchague kabisa chagua ukawa.ameshaaanza kuvunja sheria kabla ya kupiga kura.tume haiwezi kukemea kwa sababu ndo wametoa NAMBA za simu za watu.shame on them!!!!!!
  7. edwin kweyamba

    GE2015 Kutoka Iringa: Kampeni CCM uwanja wa Samora

    Hata kama kweli. In mwizi nitamchagua ili niiadhibu ccm kwa kushindwa kuwakamata wezi NA badala yake wanatuletea malalamiko kwenye majukwaa ya siasa kana kwamba mahakama hawajui zilipo.tuwaadhibu tusiwachague tena ccm kwa kushindwa kusimamia rasilimali za taifa ipasavyo.tuwakatae!
  8. edwin kweyamba

    Hii ni kwa waalimu wa ajira mpya 2015 tuliokua tunakosa mishahara miezi ya mwanzoni;

    Pole sana Mr Adam,enyi mafisadi acheni kumjibu mwenzenu kihuni,hapa KAZI tu bila malipo?mnaenda kinyume NA neno LA mungu linasema asiyefanyakazi asile .hawa wanafanya KAZI NA hawali laana iliyoje? bro chagua ukawa tatizo lako litakwisha achana NA wahuni NA ahadi hewa.
  9. edwin kweyamba

    Nitakuwa mwendawazimu nikimchagua muhujumu uchumi

    Mtoa mada,isije ikawa unayemuita muhujumu uchumi amejito ili kuokoa wengine.kama yesu NA baraba wakristo wanaelewa.mbona hashitakiwi nayeye kinga hana?.NA escrow,meremeta,pembe za ndovu twigs,unga vyote vinamuhusu.hivi watawala wanalalamika kwetu ili iweje? Mahakamani hawapajui?
  10. edwin kweyamba

    Mchumba wangu ameninunia, kisa kila akija nyumbani simpi tendo

    Siwaelewi kabisa. Hiyo ni mind set ya MTU,kwa kizazi hiki usipokula mzigo unaonekana hampendani.ila the way ulivyo wasilisha siyo kweli.wengi wanapenda stories za mapenzi siyo kufanya mapenzi uliza walio owa wanaelewa.
  11. edwin kweyamba

    UKAWA waongea na Waandishi wa Habari kuhusu Utafiti wa TWAWEZA

    Twashindwa waje kwenye mdahalo wajitetee.
  12. edwin kweyamba

    Zitto amejipanga, atashinda Jimbo la Kigoma Mjini

    Wewe mwenyewe unaitwa dudu,kwahiyo ukionyesha matako yako ndo utapata faida gani ?yaana MTU mmoja ashinde watu wanne ni maajabu.
Back
Top Bottom