act wazalendo mkoa wa kigoma ni balaa! kazi ya zitto imeonekana! hakika kwa utafiti niliofanya lazima zitto atakuwa mbunge kigoma mjini. najua mahasimu wake mtabisha lakini ukweli ndo huo! asipo sinda kwa jinsi navyoona upepo wa kisiasa ulivyo hapa kigoma mjini, mimi ntatembea uchi kutoka ujiji hadi mlole! nawasilisha.