Lowassa aiteka CHADEMA

Lowassa aiteka CHADEMA

1. JAMES MBATIA amekuwa mwanachama na mdau wa CHADEMA kuliko NCCR MAGEUZI

2. FREDRICK SUMAYE amekuwa muhimu UKAWA kuliko wanachama wa CHADEMA, NCCR, CUF na NLD walioanzisha UKAWA


3. Viongozi wa upinzani wameporomoka kifikra kabisa wapo tayari kukana hata majina yao kumfurahisha LOWASSA

4. Vijana wa UKAWA wamekuwa mafundi wa kufanya editing ya picha fake kupotosha umma kwa uongo kutafuta huruma kwa umma


5. GODLESS LEMA amepunguza tabia ya kuundaa mipango ya kujiteka ili aseme mafisadi wanataka kumuua

6. CUF imebaki zanzibar tu huku Bara hata jina tunaanza kulisahau kabisa

7. Vijana na viongozi wa UKAWA wanampenda na kumuabudu LOWASSA kuliko hata Mungu wao, kubwa kuliko wengine wapo tayari kusema kijani ni njano kumfurahisha mzee


8. Mke wa LOWASSA yaani Regina LOWASSA amekuwa mwenyekiti wa BAWACHA taifa HALIMA MDEE amekuwa mbeba ma file wa REGINA LOWASSA.

9. Wapinzani Tanzania wamekuwa waigizaji wazuri kuliko hata wasanii wetu wa bongo movies yaani wanapiga maigizo mzee MAJUTO hagusi nadhani watakuwa na muigizaji nguli kwenye team ya kampeni.

Aisee! Na wewe hapo umefikiria kabisa ukapanga points, tena kwa namba?
 
Haya ndio matatzo ya kutumia viroba wakat wa ujauzito
Unakuwa na mawazo mgando tu kila mda

Khaa kama viroba havikufai tumia bangi mbichi asee...na hiyo mimba kwani uliipatia guest house?Pole utajifungua mtoto zezeta:thumbdown::thumbdown:😀😀
 
Chadema haina Chadema asili labda kwenye ccm yenu.
Huku mwanachama ni mwanachama tu.

CHADEMA IMEGAWANYIKA KATIKA MAKUNDI MENGI

Chadema asili-wafuasi wa Slaa

Chadema kaskazini-ikiongozwa na Mbowe

Chadema maslahi-lowassa,sumaye,makongoro mahanga,masha na wafanyabiashara na mafisadi.

Chadema makapi-hawa ndio wale nyumbu waliotoka kwenye ile safari ya matumaini.wanajiita ulipo tupo,4u na team lowassa.

Chadema majuto-hapa kuna kina professa safari,lissu,lema,kigaila,patrobas,ben saanane na wengine.hawa wanafia na tai shingoni baada ya kujua kuwa lowassa kawaingiza choo cha kike.
 
1. JAMES MBATIA amekuwa mwanachama na mdau wa CHADEMA kuliko NCCR MAGEUZI

2. FREDRICK SUMAYE amekuwa muhimu UKAWA kuliko wanachama wa CHADEMA, NCCR, CUF na NLD walioanzisha UKAWA


3. Viongozi wa upinzani wameporomoka kifikra kabisa wapo tayari kukana hata majina yao kumfurahisha LOWASSA

4. Vijana wa UKAWA wamekuwa mafundi wa kufanya editing ya picha fake kupotosha umma kwa uongo kutafuta huruma kwa umma


5. GODLESS LEMA amepunguza tabia ya kuundaa mipango ya kujiteka ili aseme mafisadi wanataka kumuua

6. CUF imebaki zanzibar tu huku Bara hata jina tunaanza kulisahau kabisa

7. Vijana na viongozi wa UKAWA wanampenda na kumuabudu LOWASSA kuliko hata Mungu wao, kubwa kuliko wengine wapo tayari kusema kijani ni njano kumfurahisha mzee


8. Mke wa LOWASSA yaani Regina LOWASSA amekuwa mwenyekiti wa BAWACHA taifa HALIMA MDEE amekuwa mbeba ma file wa REGINA LOWASSA.

9. Wapinzani Tanzania wamekuwa waigizaji wazuri kuliko hata wasanii wetu wa bongo movies yaani wanapiga maigizo mzee MAJUTO hagusi nadhani watakuwa na muigizaji nguli kwenye team ya kampeni.

Wamenunuliwa hao hicho so chama tena
 
Ubora

Tangulini CCM ikaitakia mema CHADEMA?Magufuli hafai kabisa kuwa rais

CCM iitakie mema chadema kwa lipi mlilofanya hasa? mafisadi wakubwa nyie wenye uchu wa madaraka tuwatakie mama kwa lipi? ubaguzi wa kidini na ukabila bado mnataka tuwatakie mema kwa lipi?
 
Last edited by a moderator:
CHADEMA IMEGAWANYIKA KATIKA MAKUNDI MENGI

Chadema asili-wafuasi wa Slaa

Chadema kaskazini-ikiongozwa na Mbowe

Chadema maslahi-lowassa,sumaye,makongoro mahanga,masha na wafanyabiashara na mafisadi.

Chadema makapi-hawa ndio wale nyumbu waliotoka kwenye ile safari ya matumaini.wanajiita ulipo tupo,4u na team lowassa.

Chadema majuto-hapa kuna kina professa safari,lissu,lema,kigaila,patrobas,ben saanane na wengine.hawa wanafia na tai shingoni baada ya kujua kuwa lowassa kawaingiza choo cha kike.

Asante mkuu
Ila sidhan kama watakuelewa lakin
Maana wamesubmit akili yao yote kwa Mbowe
 
Amekurit
sawa ila ninachoju ni mke wangu alikuwa anataka kumpigia magufuli nimemwelisha naye tupo pamoja atampigia kura lowassa, pia house girl amebadilishwa na mke wangu naye atampigia kura lowasa.
amekuridhisha tu kura siri
 
Katika maigozo yooote yaliyonifirahisha ukawa ni lile lawatu kupiga mieleka nahamu kweli kuona sinema hii inarudiwa. Ila naona kama wamejistukia hivi
 
Kuna kila dalili za kurudi ccm
lakin hatupokei watu wasiona kitu kichwan kama sumaye
majizi ya menjo ya tembo huko ulanga

Hao wezi hatupokei,wasubilie hukumu
 
Kwetufamilia inawatu zaidi ya 50 kura zote ukawa.hapa KAZI tu NA UMEME hakuna??? Huku kwetu KAZI hakuna tumelala.hapa Giza tu!
 
Enyi ccm msio NA akili ni nani aliyewaroga? Msitwambie sumaye NA lowassa ni wezi wakati mnauwezo wa kuwashitaki mnao mnatupostia uj umbe Kwenye mtandao cc tufanye nn wakati serikali mnaongoza nyie?acheni ulegelege.mkiwakamata mm Nitawapigia kura.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom