Mi naamini sentesi sahihi Ni anaambiwa Mengi.
Shida Ni, anayoambiwa je, yote ni ya kweli.
Na Yana ushahidi.
Mi ninawasiwasi na taarifa anazopewa, kunabaadhi zinanipa shaka. Japo Kama kiongozi hanabud kuwasikiliza wanaompa taarifa,
Bora kuwa muoga, wakati mwingine.
Kwa wenye kufikiria, na kupenda mijadala ya kufikirisha , rudisheni JF Ile
Posts za Kejeli, porojo zina jukwaa lake.
Huko fresh tu ku post chochote tuta like na kucomment.
Ila Kama mtu kaanzisha mjadala wa siasa au Jambo lolote lenye maana , halafu mtu akapost Kejeli au upuuzi mwingine, Ni...
Wakati nsjiunga JF nilikua naipenda, sababu mijadala mingi, ilikua ya namna hiyo. Yenye tija na kufikirisha
Siku hizi sioni posts nyingi za namba hiyo. Imejaa Siasa na posts zenyewe hata kwenye hizo siasa hazina mantiki.
Ni porojo, Matusi ya rejareja na Kejeli
napendakuchangia kwenye,
japo nitakalo liandika sio hasa ndicho ninachofanya, ila ndicho ninachoelewa.
Ibada ni neno pana, na kuabudu ni neno pana zaidi. Sina hakika nipo sahihi kiasi gani ila nadhani kuabudu kunaanzia kwenye upendo.
Kuabudu ni hatua mbele ya Upendo. Naamini ibada ya kweli...
The fact that the universe exists inatosha kumpa credit mtu/kitu ambaye amesababisha hii existence.
Hiyo existence ililetwa na Nani?
Obviously hata tukiweka mlolongo wa walio Anza, lazima tufike point iwe ndio ultimate source ambayo ni ever existing.
I call that God.
Hivyo kabla hatujafika popote, Ni swala la kuamini.
Yaani hata nikimuelezea na kumdefine utakavyotaka wewe, unaweza tu ukasema hujawahi kumuona hivyo hayupo.
Ama sijawahi kumuona hivyo hayupo.
Maana definition unayoitaka Ni Ile ambayo itaendana na matakwa yako.
Itumike misamiati unayoitaka...
Mda huu siwezi endelea na mijadala. Ila Ni vyema kujua.
Sio lazima mtu aweze kuelezea kitu kiundani Sana Basi ndipo kweli uwepo wake uwepo.
Inawezekana wapo wengi wanaoamini Mungu yupo. Wao kushindwa kumdescribe, ama kumdefine haiondoi uwepo wa Mungu.
Labda itawafanya tu wao kuwa Naive.
Ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.