Poleni na majukumu ndugu zangu.
Nina mdogo wangu wa kike umri ni miaka 20 ana tatizo la kuota vipele kama vichunusi kwenye miguu yake ambavyo hufikia muda vinaiva na kutoa usaha na vinaota kila siku anapojikuna kwan vinamwasha sana.
Kuna dawa ambayo alianza kuitumia kutoka kwa mhindi ya kupaka...
Ndugu poleni na kazi kubwa ya kuimarisha afya za Watanzania pamoja na kujenga taifa.
Nina mdogo wangu wa kike ana umri wa miaka 20 ana tatizo linalompa shida sana,kuna vipele kama vchunusi vidogo vinamtokea miguun hasa maeneo ya kuanzia kwenye magoti kushuka chini vinavimba na kutoa usaha na...
Nisaidien ndugu zangu kazi ambayo itanisaidia kuendesha maisha yangu kwani nimemaliza kidato cha sita kwa uweza wa Mungu pekee japo nategemea kuanza chuo ila hali yangu ni mbaya sana wazazi wangu waliniacha {walifariki}baada ya kumalza kidato cha 4 tu,nisaidien ndugu zangu napatikana Arusha na...
Naomba ndugu zangu mnisaidie mchanganuo wa saluni ya kiume ya kisasa zaidi,nina million 4 nataka nifungue saluni ya kisasa na yenye mvuto nisaidien wandugu...siku njema
Mimi ni kijana wa kiume nimechukua comb ya arts HGL nimemalza kidato cha sta mwaka jana naomba mnisaidie ni facult gan nzuri ya kuchukua chuoni ambayo itakuwa na faida kwangu baada ya miaka yangu mitatu chuoni...NAKARIBISHA USHAURI NDUGU ZANGU
endeleen kutengeneza timu za kushrk mashndano ya mchangan hahahahahah hata nafas ya pili mmekosa? Mliboranga wenyewe wala hatutak hongera yako ya knafk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.