Ahhahahahahah watu wanalia kuambiwa wabaya sa kwani mwanaume anasifiwa uzuri au kazi[emoji16][emoji8] basi mi nawapenda wanaume wote WA humu ni ma handsome. Alowatukana awatake radhi
Mapenzi ni km Gari ukishuka mwenzio anapanda anakaa siti yako hyohyo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Mbn hakufanya wakat yuko ccm au akiwa waziri mkuu anawaigizia tu na kuteka akili zenu akati ni fisadi anajiviaha mavazi ya kondoo akat ni mbwa mwitu uchu tu wa madaraka unamsumbua haya na kupanda note daladala alisaidia nn zaidi ya kuwela jum tu barabarani au mpaka mumchague kuwa raic wenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.