Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21.,Ni mtu mwenye Upendo, mchapakazi, Heshima, Jasiri na pia naeishi ktk maisha ya kawaida saana. >>stori inaanzia miaka mitatu iliopita katka mji mdogo unao patikana sehemu furani mkoani IRINGA..
kumekua na tatizo katka wapenzi wetu ilihali wengi wao hushindwa kuwaambia ukweli wahusika wao!
[]>Kama wewe mpenzi wako ana 1)kinywa, 2)Miguu, 3)Kwapa, 4)mwili mzma, 5)hata sehemu zake za siri zinatoa harufu kali utamwambia ukweli au utakausha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.