nahamu na nyie maana mta wekwa kambi mbili zinazo fahamika kwahiyo karibuni sanatulijenge taifa bila bati misumari wala cement huku kufa hufi ila chamoto utakiona
alafu mnanukuu nn hii sio thread ya siasa uchama hauitajiki huku kama unataka siasa nenda ukajitangaze thread nyingine uko iv vitu si vya mchezo mchezo kabisa
waeleweshe vizuri afu jeshini hamnaga rushwa hizi nafasi zinatokaga kama gift of honor kwaaskali wa kada mbalimbali na kuhusu wala la wanaendaje fomu zinatolewa then unaangiwa na kambi ili kufanya mjazo wawale ambao hawakujiunga na mafunzo kwa sababu mbalimbali kama magonjwa, vifo n.k na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.