Recent content by eddy king

  1. eddy king

    Kafulila acha kejeli, kweli Hussein Bashe na Rais Samia na Mbwembwe zote hawajakuza KILIMO hata Asilimia kumi 10%?

    Agenda 10/30, kifikia 2030 wamesema kitakua kwa asilimia hizo...ngoja tusubiri yajayo yanafurahisha.
  2. eddy king

    PreGE2025 Ni wakati sahihi Dkt. Slaa kutuambia nani alimpiga risasi Lissu

    Huu sio wakati wa kukumbusha yaliyopita. Mwanachama yeyote wa CHADEMA aliyepotea na anatamani kurudi chadema huu mwaka ni WA kuokota watu wote. Pamoja na yote jua Kuna watu wanamuamini Dr slaa hivyo alivyo kwaiyo usidhani Dr slaa atarudi pekeyake Kuna watu atarudi nao. Ccm huwa hawaangalii sana...
  3. eddy king

    Jinsi ya kudeal na "black sheep" kwenye familia. Believe or not inafanya kazi kwa asilimia mia

    Moja kati ya nyuzi Bora kabisa nilizosoma karibuni. Labda sababu nime ishi maisha ya kuona ulichokieleza. Kuna familia Moja ya watoto WA Tano woote wamesoma sana na kazi zao za heshima ila wana ndugu Yao Moja tena ni mdada mlevi, mkorofi yaani hakuna ulichoongea hapo ambacho hafanyi. Wako na...
  4. eddy king

    Adhabu ya spika kwa Mpina ni mwendelezo wa watoto wa mjini kuwang'onyesha sukuma gang?

    Kuna mbunge anaitwa Kondester aliongea vizuri sana Jana, sema sababu hatusikilizi na tukisikiliza tunasikiliza tunayotaka kusikia tunaweza tusielewe. Hii inaonekana inaweza kua vita ya maslai TU. Hatujui ila pande zote Kuna shida mahali. Data alizonazo mpina zinatosha kuonesha kua upande wa...
  5. eddy king

    Lindi mbona pamepoa sana jamani?

    Lindi kama lindi
  6. eddy king

    Isingekuwa Lowassa CHADEMA wangepata kura ndogo sana Uchaguzi Mkuu 2015

    Binafsi naweza kutofautiana na maoni yako na wengi wanavyoona ila kikubwa ambacho naona uchaguzi wa mwaka 2015 ulikua ni uchaguzi wa kimageuzi tu wenyewe bila nguvu ya yeyote. Tena naweza sema pengine uwepo wa lowassa kwenye uchaguzi huo inawezekana umepunguza idadi ya hao wabunge au pengine...
  7. eddy king

    Mwanamke akikudanganya nawe ukadanganyika atakudharau na kukuona hamnazo

    Nimependa uandishi wako, umeandika Fact kabisa. Kongole[emoji106]
  8. eddy king

    Mchungaji Matsahi amtaka Spika Tulia kukaa karibu zaidi na Mungu wakati huu na asiruhusu marafiki wasioeleweka kumkaribia!

    Sijui Lengo lako Ni nini ila Ulichoripoti sio Kilicho semwa au Umekisema tofauti kwa manufaa unayoyajua mwenyewe. Ningepata ile video ningeweka hapa ili ujione ulivyopotosha. Sadly Hata jina la Mchungaji umekosea kuandika, na Sijui ndio nyie mnaangaliaga kwa Mrengo wa Kukosoa tu🥲
  9. eddy king

    Sema nini wakuu degree ni utapeli tu

    Naungana na wewe kabisa, Ni Leo Asubuhi nimetoka kuongea na Dogo moja anasoma Degree ya Utawala Sijui na mavitu Gani ndio intake mpya, Mkopo amekosa mama yake anapambana na kukopa ili dogo asome kwa kuuza mgahawa mpaka unaona huruma🥲, akimaliza aje kupaki mpira home Tena.
  10. eddy king

    DOKEZO Mkandarasi wa SGR ametoa majina wanaopunguzwa kazi, Serikali isaidie tupate haki zetu tunaopunguzwa

    Tumefanya kazi huko ni ujinga mtupu, Toka kipindi anashindwa kulipia mafuta ya mitambo na magari, mara maji ya kunuwa Hata week mnakaa bila bila niliona dalili Mbaya. Tumefanya kazi kama sub Toka mwezi wa pili certificate hazijalipwa hadi Leo. Uhuni uhuni tu nchi hii
  11. eddy king

    Msaada: Nyumba ya contemporary inavuja

    Poleni Usicheke, shida watu wengi wanapenda vitu Vizuri halafu wanatumia mafundi kanjanja . Kama utapenda kumsaidia nakupa namba YANGU call au what'sup +255716416599 mpe tutamsaidia .
  12. eddy king

    Computer4Sale Portable laptops inauzwa!!!

    Bado IPO boss, tunaweza chekiana Kwa namba 0716416599 Kwa maelezo zaidi Sent using Jamii Forums mobile app
  13. eddy king

    Computer4Sale Portable laptops inauzwa!!!

    H Sent using Jamii Forums mobile app
  14. eddy king

    Computer4Sale Portable laptops inauzwa!!!

    Your right 0716416599
Back
Top Bottom