Binafsi naweza kutofautiana na maoni yako na wengi wanavyoona ila kikubwa ambacho naona uchaguzi wa mwaka 2015 ulikua ni uchaguzi wa kimageuzi tu wenyewe bila nguvu ya yeyote. Tena naweza sema pengine uwepo wa lowassa kwenye uchaguzi huo inawezekana umepunguza idadi ya hao wabunge au pengine...
Sijui Lengo lako Ni nini ila Ulichoripoti sio Kilicho semwa au Umekisema tofauti kwa manufaa unayoyajua mwenyewe. Ningepata ile video ningeweka hapa ili ujione ulivyopotosha. Sadly Hata jina la Mchungaji umekosea kuandika, na Sijui ndio nyie mnaangaliaga kwa Mrengo wa Kukosoa tu🥲
Naungana na wewe kabisa, Ni Leo Asubuhi nimetoka kuongea na Dogo moja anasoma Degree ya Utawala Sijui na mavitu Gani ndio intake mpya, Mkopo amekosa mama yake anapambana na kukopa ili dogo asome kwa kuuza mgahawa mpaka unaona huruma🥲, akimaliza aje kupaki mpira home Tena.
Tumefanya kazi huko ni ujinga mtupu, Toka kipindi anashindwa kulipia mafuta ya mitambo na magari, mara maji ya kunuwa Hata week mnakaa bila bila niliona dalili Mbaya. Tumefanya kazi kama sub Toka mwezi wa pili certificate hazijalipwa hadi Leo. Uhuni uhuni tu nchi hii
Kama unahitaji Laptop ndogo Ipo.
Brand ni Microsoft surface pro ,
Sifa,
Processor core i5
Ram 4Gb
SSD 64 GB
Removable magnetic keyboard unaweza kuitumia kama tablet, na charge yake ni magnetic pia.
Ndogo ipo kama kitabu, nyepesi na Iko very fast kwenye operation zake.
Bei rahisi sana ya 399000/=...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.