Recent content by eddy king

  1. eddy king

    Isingekuwa Lowassa CHADEMA wangepata kura ndogo sana Uchaguzi Mkuu 2015

    Binafsi naweza kutofautiana na maoni yako na wengi wanavyoona ila kikubwa ambacho naona uchaguzi wa mwaka 2015 ulikua ni uchaguzi wa kimageuzi tu wenyewe bila nguvu ya yeyote. Tena naweza sema pengine uwepo wa lowassa kwenye uchaguzi huo inawezekana umepunguza idadi ya hao wabunge au pengine...
  2. eddy king

    Mwanamke akikudanganya nawe ukadanganyika atakudharau na kukuona hamnazo

    Nimependa uandishi wako, umeandika Fact kabisa. Kongole[emoji106]
  3. eddy king

    Mchungaji Matsahi amtaka Spika Tulia kukaa karibu zaidi na Mungu wakati huu na asiruhusu marafiki wasioeleweka kumkaribia!

    Sijui Lengo lako Ni nini ila Ulichoripoti sio Kilicho semwa au Umekisema tofauti kwa manufaa unayoyajua mwenyewe. Ningepata ile video ningeweka hapa ili ujione ulivyopotosha. Sadly Hata jina la Mchungaji umekosea kuandika, na Sijui ndio nyie mnaangaliaga kwa Mrengo wa Kukosoa tu🥲
  4. eddy king

    Sema nini wakuu degree ni utapeli tu

    Naungana na wewe kabisa, Ni Leo Asubuhi nimetoka kuongea na Dogo moja anasoma Degree ya Utawala Sijui na mavitu Gani ndio intake mpya, Mkopo amekosa mama yake anapambana na kukopa ili dogo asome kwa kuuza mgahawa mpaka unaona huruma🥲, akimaliza aje kupaki mpira home Tena.
  5. eddy king

    DOKEZO Mkandarasi wa SGR ametoa majina wanaopunguzwa kazi, Serikali isaidie tupate haki zetu tunaopunguzwa

    Tumefanya kazi huko ni ujinga mtupu, Toka kipindi anashindwa kulipia mafuta ya mitambo na magari, mara maji ya kunuwa Hata week mnakaa bila bila niliona dalili Mbaya. Tumefanya kazi kama sub Toka mwezi wa pili certificate hazijalipwa hadi Leo. Uhuni uhuni tu nchi hii
  6. eddy king

    Msaada: Nyumba ya contemporary inavuja

    Poleni Usicheke, shida watu wengi wanapenda vitu Vizuri halafu wanatumia mafundi kanjanja . Kama utapenda kumsaidia nakupa namba YANGU call au what'sup +255716416599 mpe tutamsaidia .
  7. eddy king

    Computer4Sale Portable laptops inauzwa!!!

    Bado IPO boss, tunaweza chekiana Kwa namba 0716416599 Kwa maelezo zaidi Sent using Jamii Forums mobile app
  8. eddy king

    Computer4Sale Portable laptops inauzwa!!!

    H Sent using Jamii Forums mobile app
  9. eddy king

    Computer4Sale Portable laptops inauzwa!!!

    Your right 0716416599
  10. eddy king

    Computer4Sale Portable laptops inauzwa!!!

    Na Bei imeshuka Hadi 379000/= tu
  11. eddy king

    Computer4Sale Portable laptops inauzwa!!!

    Display type: LCD. Display diagonal size: 10.6. Display aspect ratio: 16:9. Pixel density: 208 ppi. Resolution: 1920×1080 pixels. Contrast ratio: 1324:1 (nominal). Multi-touch support: 10 touches.
  12. eddy king

    Computer4Sale Portable laptops inauzwa!!!

    Ipo vizuri Bado ipo
  13. eddy king

    Computer4Sale Portable laptops inauzwa!!!

    Sawa mkuu, nadhani hii itakua inaonekana
  14. eddy king

    Computer4Sale Portable laptops inauzwa!!!

    Kama unahitaji Laptop ndogo Ipo. Brand ni Microsoft surface pro , Sifa, Processor core i5 Ram 4Gb SSD 64 GB Removable magnetic keyboard unaweza kuitumia kama tablet, na charge yake ni magnetic pia. Ndogo ipo kama kitabu, nyepesi na Iko very fast kwenye operation zake. Bei rahisi sana ya 399000/=...
Back
Top Bottom