Hapa una maanisha kwamba UKIOMBA NA KUNUIA KWA IMANI KUPITIA DAMU YA MWANA WA M_NGU UTAKUWA UMEPATA HIYO SPIRITUAL ACCESS AU?
Nahitaji clarification hapa tafadhali Mr. Tanzanian Dream.
Hapo kwenye first Law pale uliposema “ Sisi wa Light side tunatumia damu ya Mwana Mungu ”,,,,hpo una maanisha kwamba ukiomba na kunuia kwa Imani kupitia Damu ya Mwana wa Mungu ktk sehemu yako ya biashara utakuwa tayari umeshapata hiyo access ya kiroho au unahitaji cha zaidi?
Ufafanuzi please...
Mm niwatakie heri ya Christmas wana JF wote kwani sitaki kuwabagua Coz nawapenda wote sabu nimejifunza mengi kwa kila mmoja pindi nitembeleapo jukwaa hili pendwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.