Mimi na mwanachama wa chadema ninae support ukawa. Tunapompendekeza mtu kugombea tuwe na uhakika wa kushinda kwanza kwa nafasi yake, pili kwa umoja wetu(UKAWA). Kwa dhamira yetu ya kutaka ushindi napendekeza asimame Julius Mtatiro. Ushauri
Yapo mambo magumu na ya kimsingi ya kumshirikisha Mungu, hili la kumuondoa ccm uweza wa kibinadamu unatosha. Ucmchoshe. Asitunyime pumzi tu mpaka 25 october.
alidhan atapata kura za walimu kwa kuwatisha na laptop. Nyumba moja moja kwny shule za kata wameshindwa je ataweza kutoa laptop atleast 70 kwa kila kata? Udanganyifu jipange
watafute mwalimu awaeleze nini maana ya uanazuoni. Hawa watakuwa wamekurupuka au ni kikundi kilichoundwa na mafisadi kwa kupewa elfu 20 kila mwezi kama mgao wa escrow ili waje wapotoshe uma. Futilia mbali uchafu wao kwny mtandao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.