bodaboda2
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 872
- 230
Tuipumzishe hii chama jamani,nawaombeni sana.
tupo pamoja
Tuipumzishe hii chama jamani,nawaombeni sana.
Kwa mtu mtafutaji angeweza kufanya chochote kujikwamua. Hakika atabaki kama alivyo
Wakati anaelezea huyo dereva tax huo upuuzi wake, nikijiwazia nilivyo na taabu ya hela , nikaona kaupenyo kalivyokuwa wazi , tena hela zilizokuwa zimeandakuwa kuwaunguza watanzania
Kuna chozi zito kama nchirizi Wa asali ulinitoka , loooh jamaa atakuwa masikini nileleeee
Kitendo cha kukamatwa kiasi cha 700 ml.za kuwahonga wana ccm kumchagua membe toka kwa maji ni ishara ya ccm kuuza tz.
Nani kasema ni million700,na kwamba zimetolewa na manji?pia ni nani alilenga kuhonga wajumbe hao?ni vema tusubiri uchunguzi wa vyombo vya dola ukamilike ili tuwe na la kusema.
CCM haimeguki.Ccm nijanga tutaona mengi, chama kinamfia kaka mkuu.
Ukawaaaaa.... nchi yenuuuuu sasa... mm nimetoka CCM rasmi janaaaaa...
Mwana wa Lowassa, nipokeeni... kura yangu Ukawa tu