Sijutii kuzaliwa Africa, East Africa na zaidi Tanzania, Sijuti na hali ya serikali iliyo madarakani kwa sababu hakuna jipya niliyajua toka zamani so pole mgeni wa hali halisi.
kinachoendelea kwa sasa ni ushabiki wa vyama vya siasa na sio maslahi ya nchi,,i hate the system of politics in our country coz inaharibu hata mfumo mzima wa elimu na maisha kwa ujumla
ni taarifa tu kama unavyopata taarifa nyingine ambazo kimsingi haziwezi kukuondolea umasikin coz umasikin utaondoka kwa juhudi zako na sio makala ya kwenye magazet or anywhere else,,THINK POSITIVE AND FOCUS FOWARD..
inasikitisha saana...i do agree with the Obama's arrival especially in economic aspects but kwa hili la kuamua wenyewe nani aonane nae ni ufinyu wa maamuzi kwa serikali yetu kwa sababu hata Rais wetu angeweza kupanga kwa kuzingatia vigezo vya usalama pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.