Recent content by echinochus

  1. E

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu naombeni ushauri kabla ya kujilipua Armenia - Italy1X2 - FT (2)1.30 Faroe Islands - Sweden1X2 - FT (2)1.22 Romania - Spain1X2 - FT (2) Total 2.38 odds
  2. E

    Naombeni msaada: Nimesoma HGL, Je nisomee nini chenye manufaa?

    Jamaaa ameshauri vizuri sema ndo vile kila mtu anataka aonje maisha ya chuo....karibu
  3. E

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mimi zilibaki Bayern na Barcelona na likaangushwa
  4. E

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Treni langu LA timu 20 lilibomolewa na mechi mbili za mwisho yaan ya Barcelona na atletico na Bayern na hethaberlin nilikosa laki 8 kwa stake yangu ya buku 5 kwasababu ya hao jamaa
  5. E

    Special thread kwa wana Maabara ( Medical Lab ).

    Stool occult blood na h.pylori test(serology)
  6. E

    Na

    Nilipata division 2 ya 12 mwaka 2016 PCB ila nilipoona mizinguo nimejikita diploma in medical laboratory science maisha matamu tu
  7. E

    TAMISEMI tunaomba ufafanuzi.

    Sasa nyie wenye 1&2 mngeenda kupambana kwanza advance ikishindikana mtakaribishwa huko......mkijaa nyie na wenzenu wataenda wapi?
  8. E

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nimekosa laki nane aiseeee baada ya kumpa MTU mkeka wangu
Back
Top Bottom