Philipo dauson
Member
- Apr 8, 2019
- 17
- 3
Natanguliza shukrani kwa wana JF kwa kazi mnayofanya na Mimi nimeapply vyuo vya diploma education vitatu Nina two ya point 20 chemistry, biology zote Nina c vyuo nilivyoomba ni mpwapwa Tc na Songea Tc je na tukuyu Tc je nawezakupata hapoooo???? Pia kama ikiwezekana je ni lini majibu yatawekwa online kwenye profile zetu wakati waliochaguliwa na Tamisemi wameshatangulia vyuoni nini hatima ya walioomba online kuanza masomo na wengine msaada wenu ni muhimu kwangu asanteniii