Natamani ukweli huu uwafikie wafanya maamuzi. Kampuni ya Kituruki ya Yapi imeinua tuta kubwa na refu kwa ajili ya kupitisha reli ya SGR badala ya nguzo. Kisha wakaweka outlet mbili za kupitishia maji.
Matokeo yake tuta limekuwa likiyablock maji kutoka milima ya azimio na Lukobe kusambaa kwenye...
Ni pale alipoongeza mapato ya serikali, kuvutia wawekezaji wengi, kuongeza pesa kwenye halmashauri zetu, kupandisha madaraja watumishi, kufuta kesi 400 za kubambikia, na kusimamia vizuri miradi yote ya kimkakati...nikaanza kumchukia
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema!
Nimenunua gari kwa mtu ambaye naye alilinunua kwa mtu na hakuwa amefanya mabadiliko ya kadi.
Nia yangu ni kuwa na kadi ya gari kwa jina langu. Kadi bado inasoma mmiliki wa kwanza. Nina document za mwanasheria za ununuzi.
Naomba msaada wa taratibu za...
MBUNGE wa Jimbo la Tandahimba, Mtwara, kupitia Chama cha Wananchi CUF, Mhe. Katani Ahmadi Katani mapema Leo Alhamisi Novemba 15,2018, naye amejiuzulu Ubunge na nafasi zake zote ndani ya CUF, kutokana na chama chake kuwa na migogoro isiyokwisha, inayoathili utendaji wake.
Usajili 👆🏽👆🏽👆🏽 unaendelea
mkuu unajua ni kwanini wazungu waliowaletea ukristo wao hawana mpango nao tena? Unajua kwanini wayahudi sio wakristo hadi leo japo wao ndo walioutunga? Unajua biblia ni maneno ya binadamu na sio ya Mungu ndo maana wanaongeza na kupunguza kila mara?
Naapa Moto ni haki yako, kama usipoleta toba ya kweli! huna siku nyingi, utakutana na Mola wako, dunia isikuhadae hii, ukajiona mjanja! Nakuhurumia , na pole sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.