Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,559
Naona Mkakati mkubwa sana humu kwenye Social media kuvigombanisha hivi vyama viwili. kuna watu wanajivika Uchadema au U ACT na kuanzisha mada ili kukiponda moja ya hivyo vyama kwa lengo la kuchonganisha.
Siamini kama Chadema wanaumizwa na suala la Maalim Seif kuhamia ACT wazalendo.
Kwa kuhamia ACT maalim kacheza karata yake vizuri, wale wenzangu wanao fahamu huo mchezo watakwambia Maaalim kacheza karata dume.
Wenye kusoma katikati ya mstari wanelewa na watamshamgaa yeyote yule aliyekua akitarajia Maalim kuhamia CHADEMA.
Siamini kama Chadema wanaumizwa na suala la Maalim Seif kuhamia ACT wazalendo.
Kwa kuhamia ACT maalim kacheza karata yake vizuri, wale wenzangu wanao fahamu huo mchezo watakwambia Maaalim kacheza karata dume.
Wenye kusoma katikati ya mstari wanelewa na watamshamgaa yeyote yule aliyekua akitarajia Maalim kuhamia CHADEMA.