Habari..
Kwa experience yangu ndogo nliapply pia on September 2021 nkatumiwa aptitude nkafanya...nlitumiwa majibu kuwa nmepass aptitude ...next nilipigiwa simu on 30th December for phone interview then juzi metumiwa email kwenda for face to face interview kesho(Thursday 6th) kumeet na hiring...
Star utawekewa kwenye profile ya chuo ya mtandaoni ila at the end hamna cheti chenye alama yoyote' wewe uliesup na yule aliepata C hamtofautiani cheti kinakuja plain na grading zake
Naomba kujua process za interview MDH...ni oral au written? Na inachukua muda gani kuitwa interview baada ya kuwasilisha documents? Na interviewing process inachukua how long??
Samahan kwa maswali mengi ila natumai utanipa majibu sahihi Mtende Mtende
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.