0905
JF-Expert Member
- Jun 29, 2016
- 252
- 242
Pithithibiii?Subiri mambo mazuri yaja jifue kufunga na kufungua, kunyakua, kutafuta hamu ya kula, yaaaaa ya ukali ktk uwanja wa damu
Pithithibiii?Subiri mambo mazuri yaja jifue kufunga na kufungua, kunyakua, kutafuta hamu ya kula, yaaaaa ya ukali ktk uwanja wa damu
sure sure mkuu approvedMambo yameiva Wana JF katikati ya mwezi mambo yatakuwa bulibuli jiandaeni kwa nauli zenu za kukaa idodomiya huko wajameni maana soon mkeka out
He kuongezeka kwa nafasi Kuna ukweli wowote kwenye hilo??Mambo yameiva Wana JF katikati ya mwezi mambo yatakuwa bulibuli jiandaeni kwa nauli zenu za kukaa idodomiya huko wajameni maana soon mkeka out
sio kweli hata kidogoHe kuongezeka kwa nafasi Kuna ukweli wowote kwenye hilo??
Tushazoea hekaheka hatutaki kutuliaa 😂😂😂Humu saiz nikunyweshana uji wa matumain daily mnalala mnaota mkeka na namna ya kutiana moyo. Tilieni wakuu mambo mazur hayataki haraka mkeka ukitoka kila mtu atajua.
Sent from my SH-02J using JamiiForums mobile app
Nafc zmeongezwa mbn mnapenda ubixhanisio kweli hata kidogo
Yes, so jiandaeni na gharama za kukaa more than three Days hukosure sure mkuu approved
Yes zimeongezwa to 500 na kitu hiviHe kuongezeka kwa nafasi Kuna ukweli wowote kwenye hilo??
Tupe chanzo chako Cha taarifa acha uwongo dogoNafc zmeongezwa mbn mnapenda ubixhani
Hvi after interviews inachukua how long majibu kutoka??! Ukizingatia Kuna issues za holidays pia this monthYes zimeongezwa to 500 na kitu hivi
Hahahah watu wanlala wanaota hukuTushazoea hekaheka hatutaki kutuliaa
January course inaanza so I think week nzima maana interview ni before xmass then waliofaulu course January Ili wawahi tu, haitachukua mdaHvi after interviews inachukua how long majibu kutoka??! Ukizingatia Kuna issues za holidays pia this month
hata nkikupa chanzo hutosadiki maana akiri isha jityuni kubisha ko km utakua na Imani walau kama chembe ya haradani nawe ukasadiki jambo hili basi wajiwekea nafasi yako pisisibiTupe chanzo chako Cha taarifa acha uwongo dogo
Dadeki yaani siku moja unajua hatma ya maisha yako?Ila pccb si huwa wanafanya usaili mara mbili kwa siku tofauti tofauti yaani mnaanza na Aptitude test kisha mnarudi nyumbani badae wanatoa majina ya walio pita kwenda kufanya oral interview. Awamu hii mambo ni tofauti?
Amenhata nkikupa chanzo hutosadiki maana akiri isha jityuni kubisha ko km utakua na Imani walau kama chembe ya haradani nawe ukasadiki jambo hili basi wajiwekea nafasi yako pisisibi
Nadhani itakuwa hivo hivo aisee ila mtu kufanya interview moja then arudi tena dodoma ni gharama kubwa sanaIla pccb si huwa wanafanya usaili mara mbili kwa siku tofauti tofauti yaani mnaanza na Aptitude test kisha mnarudi nyumbani badae wanatoa majina ya walio pita kwenda kufanya oral interview. Awamu hii mambo ni tofauti?
Kwa maelezo ayo manake kuna interview mbili i.e written&oral sindiyo kamkubwa?Ila pccb si huwa wanafanya usaili mara mbili kwa siku tofauti tofauti yaani mnaanza na Aptitude test kisha mnarudi nyumbani badae wanatoa majina ya walio pita kwenda kufanya oral interview. Awamu hii mambo ni tofauti?
Ndio mzee hiyo mustKwa maelezo ayo manake kuna interview mbili i.e written&oral sindiyo kamkubwa?