Recent content by EastSun

  1. EastSun

    Kuna mchezo unachezwa TANESCO. Wahusika ni vigogo wakubwa sana!!

    Tanesco wanapambana jamani usiku na mchana sema ndo hivyo mlaji anachohitaji ni chakula ,haijalishi mpishi huko jikoni anapatwa na changdmoto gani.
  2. EastSun

    Usaili wa Utumishi: Kipi kilikufanya ufaulu au ulikosea wapi?

    Oral Kuna maswali Yale common hupendelea kuuliza 1.your background based on experience and education 2.Mtumishi wa anatakiwa kuwa na sifa zipi au quality of civil servant 3.Responsibilities na duty za kazi izoomba Maswali 2 ya mwisho yanakuwa ya fani husika -Kingine kikubwa ni kutokaa kimya...
  3. EastSun

    Misingi ya kuishi vizuri na watu

    Hiyo kuaga ,siyo kila mahari
  4. EastSun

    Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

    Hii nimeiokota huko forwarded as received ,muwe makini na wazungu wenu caring is poisonous trategy kuwapata japo siyo wote lkn kipaumbele ni usalama wako.🙃🙃 Me napinga mzungu Hadi mwisho.😅
  5. EastSun

    Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

    Maskini yaani mtoto wa kike akizama penzini akili yake nayo inalala Kaka yake akijaribu kumuamsha anaona anaonewa Wivu 😁😂😂😂
  6. EastSun

    Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

    We unafikiri hatuna hela, hela zipo bhana 😁😁😁
  7. EastSun

    Wanasheria nisaidieni, Baba Mzazi anazidi kuuza mali

    Daaa... We jamaa post zako kila siku ni za ugomvi na Baba yako 😁😁
  8. EastSun

    Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

    We Kimbisa acha na Mzungu njoo nikuoe tutatukuwa tunazunguza kidhungu 😊
  9. EastSun

    Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

    Huo ulimbukeni na utoto tu hahaaa.... after all wakati hausubiri 2030 ni kesho
  10. EastSun

    Mzungu huyu atakuwa ameamua tuachane au yuko busy?

    Alafu ukifuatilia wasukuma wengi tafiti zangu zinaonyesha wameolewa uzunguni ,ila Dada zetu maisha ni haya haya kubarini kuishi kwenye uhalisia wenu na mu enjoy hasa, mambo ya kidhungu waachieni wadhungu, maisha yenyewe mafupi bado mdada unaji complicatisha ,unaolewa udhunguni ukaishi tamaduni...
  11. EastSun

    Natafuta deal ya pesa nyingi

    Angalia kijana usije kuwa Kama yule jamaa na binti waliouwa wazazi wao kisa Mali kule Kilimanjaro na Arusha, hiyo akili na skills ulizo nazo tumia kujikwamua kiuchumi. Kinachokusumbua ni tamaa ya Mali ,ishi maisha yako ,stay positive,acha wivu na kuiga watu. Over.
  12. EastSun

    Utumishi siwaelewi kabisa

    Aiseee.. utumishi wapo fair sana kanzi data imenipa ajira Mimi na rafiki zangu wengi sana pasipo kumtegemea kabisa bila connection yeyote wengine wametolewa juzi majamaa 4 Tanesco na ofisi ya waziri mkuu, wengine TTCL Hiyo ni mwaka huu tu na hata ajira yangu ni mwaka huu Kikubwa ni kujiandaa...
  13. EastSun

    Ni wazi sasa ukitaka kuajiriwa kirahisi Serikalini uwe na level ya Certificate au Diploma

    Unakuwa over qualified endapo utaweka au kuongeza cheti cha degree ajira portal na at the same time unataka ufanye na interview za diploma adhabu yake cheti ukiweka cha degree hakitatoka hata ukiwafata Secretariat ya ajira ofisini kwao na hautoweza kuomba tena ajira ngazi ya diploma serikalini...
Back
Top Bottom