Hii tabia ya wasanii bongo kutunga mashairi tata siielewi kabisa kuna wakati inakuwa ngumu kusikiliza au kutazama na familia.
Kwa mliosikiliza huu wimbo wa Madada Sita unaitwa Usingoje ni balaaa!!!
Inawezekana kweli lakini bado kuna makandokando kibao, tuliingia mkataba na Barrick lakini mlipa kodi anayejulikana TRA ni Acacia na aliyesajiliwa soko la hisa ni Acacia. Mkuu inahitaji uchambauzi makini wa wasomi wetu watusaidie kututoa kwenye hili giza binafsi napongeza juhudi za Mh Rais...
Kuna maswali mengi sana ambayo yanahitaji majibu: Barrick anamiliki 64% ya hisa ndani ya Acacia kwahiyo kuna wengine wanamiliki 36% zilizobaki kwahiyo Barrick hawezi kumuagiza Acacia alipe bila kujadiliana na wanahisa wengine ambao waliachwa pembeni kwenye mazungumzo na serikali. Barrick...
Kuhusu kufanya mapenzi sana ni kweli wewe umetumika zaidi! Ukweli unauma lakini ni kweli ila kwa hizo tabia zake zingine Dada jipange hapo hamna mahusiano utatumika tu kisha utabwagwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.