Recent content by E and E

  1. E and E

    Rainford Kalaba hajafariki Kama ilivyoripotiwa Bali yupo Mahututi madaktari wanapambania uhai wake

    Alichangia kwa asilimia nyingi Zambia kuwa mabingwa wa Afcon 2012. Alikuwa key player wa TP mazembe wakinyanyua vikombe kadhaa vya CAF. Labda hauko aware na soka.
  2. E and E

    Mchezaji mpira maarufu Senegal Sadio Mane afunga ndoa na mchumba wake, binti wa miaka 18

    Mwanamme huangaliwa sana future yake lakini mwanamke huangaliwa sana past yake.Hiyo ni nature
  3. E and E

    Wafanyabiashara wa Tanzania wachekelea baada ya kuzinduliwa njia mpya ya meli kati ya China na Dar es Salaam

    Na sisi tunawauzia nini wao, au ndo tumekuwa dampo la bidhaa zao, wao wanakuza thamani ya pesa yao sisi maviongozi yetu yanachekelea bila kuchukua hatua za kuwezesha na sisi tuwauzie chochote ili iwe win win situation.
  4. E and E

    Single mother utalindaje ndoa yako kama hili likitokea kwenye mahusiano yako mapya?

    Mtoto ni wako wakati manii yaliyomtengeneza kibailojia ni sio yako ni ya huyo unayempiga bit, 😂 😂. Unaanzaje kumvimbia mwanamme ambaye kwa miaka kadhaa aliwahi kujifunika shaka mija na mkeo, unajua waliyonuia, wakakumbatiana, wakalia pamoja, wakapita ups and downs. 😂 haha unachekesha sana. Au...
  5. E and E

    Mwanamke uliyeolewa, usifanye makosa haya

    Wanaume wanajua automatically, nyie ndo mnapaswa kukumbushwa.
  6. E and E

    Waraka wa Kwanza (1) kwa Wasabato wote

    Ibada ya wafu ni dhambi lazima ikemewe kwa nguvu zote, Wasabato hawapambani na Wakatoliki ila wanapambana na aliye nyuma ya mafundisho yao ambao ni Shetani mwenyewe.
  7. E and E

    Kijana kamkimbia mchumba wake alietaka kumuoa baada ya kujua kwao kuna walemavu ni sawa?

    Yuko sahihi, ukiweka hisia pembeni swala la kuoa lapasa kutumia chaguzi zinazoratibiwa na akili zako ingawa approach aliyotumia si nzuri sana.
  8. E and E

    Wanaume tujitahidi kuwatunza watoto wetu hata kama tumeachana na Mama zao

    Una haki kama umepokwa nafasi ya kuwa baba yake, inawezekana kaandika jina la baba mwingine!
  9. E and E

    Gigy Money asaidiwe

    Itume please, unakulaje peke yako
  10. E and E

    Gigy Money asaidiwe

    Ikikupendeza na mimi nitumie mkuu.
Back
Top Bottom