Alichangia kwa asilimia nyingi Zambia kuwa mabingwa wa Afcon 2012. Alikuwa key player wa TP mazembe wakinyanyua vikombe kadhaa vya CAF. Labda hauko aware na soka.
Na sisi tunawauzia nini wao, au ndo tumekuwa dampo la bidhaa zao, wao wanakuza thamani ya pesa yao sisi maviongozi yetu yanachekelea bila kuchukua hatua za kuwezesha na sisi tuwauzie chochote ili iwe win win situation.
Mtoto ni wako wakati manii yaliyomtengeneza kibailojia ni sio yako ni ya huyo unayempiga bit, 😂 😂.
Unaanzaje kumvimbia mwanamme ambaye kwa miaka kadhaa aliwahi kujifunika shaka mija na mkeo, unajua waliyonuia, wakakumbatiana, wakalia pamoja, wakapita ups and downs. 😂 haha unachekesha sana. Au...
Ibada ya wafu ni dhambi lazima ikemewe kwa nguvu zote, Wasabato hawapambani na Wakatoliki ila wanapambana na aliye nyuma ya mafundisho yao ambao ni Shetani mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.