Recent content by Dzerzhinsky

  1. D

    Madaraka makubwa ya raisi tunayoyalalamikia yanaishia kwenye uteuzi tu?

    Rais anajificha nyuma ya watu aliowateua! Hataki kuwajibika kwa makosa yao na makosa yanayotokana na maagizo yake ya chini ya meza. Hii ni style ya kuongoza kwa kukaa nyuma kusubiri kubeba credit kwa mazuri na kukwepa lawama kwa maovu yanayofanyika chini ya utawala husika. Hii imeonekana...
  2. D

    Lowassa miaka 3, Sumaye miaka 10 Waziri Mkuu

    Kwenye sakata la Jairo Pinda alisema ingekuwa uamuzi wake Jairo ngekaa pembeni tu. Sasa Jairo akaurudishwa na mkuu wa kaya na hakuna ambacho Pinda lifanya. Jifunze kitu hapo kama una akili ya kuunganisha matukio.
  3. D

    Nisaidieni, Nashangaa kwa nini nampenda Lowassa

    Mimi sikuwahi kumpenda, simpendi wala sitakaa nimpende lakini nitampa kura yangu oct 25. Chuki yangu kwa CCM hata angesimamishwa Wema Sepetu ningempa kura
  4. D

    Hatari ya mafanikio - CHADEMA/UKAWA & Lowassa

    https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/892247-hatari-ya-mafanikio-chadema-ukawa-and-lowassa-5.html Mkuu Frederick Barbarosa, nakubaliana na wewe kuwa wafuasi wa Lowasa si wengi kama anavyotaka tuamini na hilo nimelielezea kwenye andiko langu. Pia na kubaliana na wewe kuwa wengi wao ni...
  5. D

    Hatari ya mafanikio - CHADEMA/UKAWA & Lowassa

    Mkuu Bob G, nia si kushika dola, lengo la kwanza linatakiwa liwe kuiondoa CCM, kama alivyosema mchangiaji mmoja hapo nyuma katika hili tuwe tayari kwenda mbali. Lowasa ni mbaya lakini hawezi kuwa mbaya kwa maendeleo ya nchi hii kuliko CCM, lazima tumchague shetani mmoja ili kufanikiwa na shetani...
  6. D

    Hatari ya mafanikio - CHADEMA/UKAWA & Lowassa

    Mkuu Mathias, binafsi naunga mkono Lowasa kwenda ukawa ila bado sishawishiki kuwa agenda yake kuu ni kuwaondolea watanzania umasikini, ukitaka kumwelewa mwanasiasa usisikilize maneno yake, soma matendo yake!
  7. D

    Hatari ya mafanikio - CHADEMA/UKAWA & Lowassa

    Mkuu Sabari, siasa si rahisi kama unavyoichukulia, ni ngumu kuliko fizikia, ukiweka bayana msimamo wako na misingi ya msimamo huo tutaweza kujadiliana zaidi,
  8. D

    Hatari ya mafanikio - CHADEMA/UKAWA & Lowassa

    Ha haa haaa, hakuwa na connection ndani ya kitengo! Joking
  9. D

    Hatari ya mafanikio - CHADEMA/UKAWA & Lowassa

    Umeandika kwa kujiamini sana Mr Hero, siasa is very dynamic, haijanyooka kihivyo
  10. D

    Hatari ya mafanikio - CHADEMA/UKAWA & Lowassa

    Mkuu Barbarosa unajua asili ya jina lako? Tuache hilo kwa sasa, ni kweli Edward akiondoka CCM atakuwa adui wa dola isipokuwa jua kitu kimoja dola yenyewe haipo pamoja katika hili, ni dola iliyogawanyika na mgawanyiko upo kwa ndani, ni ngumu kujua nani wa kumuamini. Kuhusu foreigh powers...
  11. D

    Hatari ya mafanikio - CHADEMA/UKAWA & Lowassa

    Nadhani ni mwandishi wa kimarekani Cristoper Dikens kama sijakosea jina, wakati Marekani ikijiandaa kuishambulia Iraq ili kumuondoa Sadam madarakani mandishi huyu aliandika makala "The perils of victory" Kwa Kiswahili unaweza kusema "hatari za ushindi". Kwenye makala hii alitahadharisha mambo...
  12. D

    Usiogope kuibiwa, ogopa kuibiwa bila kujua! Usiogope kudanganywa, ogopa kudanganywa bila kubaini

    Kuibiwa sio tatizo, shida ni kuibiwa bila kutambua, ujanani nilikuwa na mpenzi kila nikiacha wallet anachomoa, mimi naweka hesabu. Siku ya siku nikampa jumla aliyojichumia so far! Alafu sikumwacha kwa hilo. Unaweza kuwa na mwenza anakuambia anakupenda sana bila wewe hawezi kuishi, kama ni fix...
  13. D

    Tuung'oe mfumo wote, ndio salama yetu kama taifa

    Ili kuondokana na huu mkwamo wa kiuchumi, kisiasa na kijamii sharti kwanza tuking'oe hiki chama
Back
Top Bottom