Lowassa miaka 3, Sumaye miaka 10 Waziri Mkuu

Lowassa miaka 3, Sumaye miaka 10 Waziri Mkuu

Umesahau kipindi lowassa alipokua waziri mkuu watu walivyokua wanafanya kazi kama kipindi cha utawala wa Mao Tse Tang The Dong wa Chinese baada ya revolution ya 1948
 
Inashangaza wagombea hawa, wanaoshabikiwa na kundi kubwa la Watanzania, Walikuwa serikalini, wakiwa kama wasimamizi wakuu wa shughuli za Serikali, leo wanaongea utafikiri wao ni wapya, tunawashangilia eti kwasababu tumeichoka CCM.

Mimi ni mmojawapo kati ya walioichoka CCM, lakini kuniletea waliokuwa mawaziri wakuu ambao wanasimama majukwaani na kuikosoa serikali ambayo kwa miaka 13 wao wamekuwa ni viongozi wakuu katika shughuli za Serikali ni mchezo wa kuigiza.

Sumaye miaka 10 umeshau nini huko serikali, huyo unayemnadi Lowassa amesahau nini kama sio njama za kuwahuumu watanzania.

Tunawataka haohao
 
Sio kweli. Wapo watu wazuri na wengi ambao hawajawahi kuhusiana na madaraka ndani ya ccm. Dr. Slaa mmoja wapo na hakuwahi kushika madaraka serikalini au CCM. Lakini mbowe kaona pesa za ED Lowassa akampapatikia akaachana na M4C Dr. Slaa. Bahati mbaya Lowassa amegundulika kuwa ni JENEZA LINALOTEMBEA na sasa wala hawezi tena kukampeni. Akitoa tu hotuba atabakisa wiki badala ya miezi.
Tratibu na kauli zako. Hamna mwenye Mkataba na Mungu. Kamba ya zamani hukatika na kamba jipya pia hukatika. au wewe una mkataba na Mungu? Sisi sote ni marehemu watarajiwa na kila mmoja mdogo kwa mkubwa, mzima au mwenye afya huondoka zamu yake ikifika.
Pia Watanzania hawahitaji propaganda, wanahitaji sera kuwa miaka 50 CCM ilifanya nini, walijikwaa wapi, wana mikakati gani kuwahakikishia kuwa hawatajikwaa tena na wanataka kuwafanyia nini Watanzania wakipewa ridhaa tena. Siyo porojo ooh huyu mgonjwa, ooh huyu mwizi n.k. Kama ni mwizi CCM si bado wana serikali serikali, Kwa nini wasiwashughulikie?
 
Nmeotaaa naangalia CNN
 

Attachments

  • 1442837639842.jpg
    1442837639842.jpg
    14.4 KB · Views: 70
Tratibu na kauli zako. Hamna mwenye Mkataba na Mungu. Kamba ya zamani hukatika na kamba jipya pia hukatika. au wewe una mkataba na Mungu? Sisi sote ni marehemu watarajiwa na kila mmoja mdogo kwa mkubwa, mzima au mwenye afya huondoka zamu yake ikifika.
Pia Watanzania hawahitaji propaganda, wanahitaji sera kuwa miaka 50 CCM ilifanya nini, walijikwaa wapi, wana mikakati gani kuwahakikishia kuwa hawatajikwaa tena na wanataka kuwafanyia nini Watanzania wakipewa ridhaa tena. Siyo porojo ooh huyu mgonjwa, ooh huyu mwizi n.k. Kama ni mwizi CCM si bado wana serikali serikali, Kwa nini wasiwashughulikie?

Big up!
 
Inashangaza wagombea hawa, wanaoshabikiwa na kundi kubwa la Watanzania, Walikuwa serikalini, wakiwa kama wasimamizi wakuu wa shughuli za Serikali, leo wanaongea utafikiri wao ni wapya, tunawashangilia eti kwasababu tumeichoka CCM.

Mimi ni mmojawapo kati ya walioichoka CCM, lakini kuniletea waliokuwa mawaziri wakuu ambao wanasimama majukwaani na kuikosoa serikali ambayo kwa miaka 13 wao wamekuwa ni viongozi wakuu katika shughuli za Serikali ni mchezo wa kuigiza.

Sumaye miaka 10 umeshau nini huko serikali, huyo unayemnadi Lowassa amesahau nini kama sio njama za kuwahuumu watanzania.

Mfumo wa mafisccm ndo uliwabana. Huku watasimamia ilani ya CDM\UKAWA
 
Inashangaza wagombea hawa, wanaoshabikiwa na kundi kubwa la Watanzania, Walikuwa serikalini, wakiwa kama wasimamizi wakuu wa shughuli za Serikali, leo wanaongea utafikiri wao ni wapya, tunawashangilia eti kwasababu tumeichoka CCM.

Mimi ni mmojawapo kati ya walioichoka CCM, lakini kuniletea waliokuwa mawaziri wakuu ambao wanasimama majukwaani na kuikosoa serikali ambayo kwa miaka 13 wao wamekuwa ni viongozi wakuu katika shughuli za Serikali ni mchezo wa kuigiza.

Sumaye miaka 10 umeshau nini huko serikali, huyo unayemnadi Lowassa amesahau nini kama sio njama za kuwahuumu watanzania.

Mfumo wa mafisccm ndo uliwabana. Huku watasimamia ilani ya CDM\UKAWA
 
Kwenye sakata la Jairo Pinda alisema ingekuwa uamuzi wake Jairo ngekaa pembeni tu. Sasa Jairo akaurudishwa na mkuu wa kaya na hakuna ambacho Pinda lifanya.

Jifunze kitu hapo kama una akili ya kuunganisha matukio.
 
Umesahau kusema Baada ya kutolewa Kanu miaka kadhaa leo Shule zote za msingi nchini Kenya zimefungwa kutokana na Mgomo mkubwa wa Walimu Nchi nzima.

Rais wa sasa wa Kenya anatoka KANU kwa uwakilishi wa Jubilee Coalition ambayo ni sawa na Lowassa akiwa Rais kutoka CDM kwa uwakilishi wa UKAWA. Haitakuwa na maana kuwa CDM itakuwa imekufa kwa kuwa Edo atakuwa anapeperusha bendera ya UKAWA ambayo kimsingi haipo mpaka sasa.
 
Cha ajabu zaidi hata yule aliyekaa kwenye wadhifa huo kwa miaka 10 bado anahamu ya kuingia tena madarakani sijui amesahau nini huyu

Anafahamu sehemu yenye uchafu anataka akaisafishe. Maana system ilimbana.
 
Wakati KANU inakufa Kenya walichagua mpinzani Mwai Kibaki ambaye alishakuwa makamu wa raisi wa Moi,huwezikupata watu wapya kabisa kwenye siasa tunachotaka ni kuutoa mfumo wa CCM basi.CCM OUT
Sawa Kenya walimchagua Mwai Kibaki. Je? Mwai Kibaki alifanya kipi ambacho ni outstanding na remarkable ambacho kinaweza kukumbukwa Kenya. Wekenya wengi wanadai wanamkumbuka Mwai Kibaki kwa kuleta
machafuko baada ya kuboronga katika uongozi wake. Kama Lowassa na Sumaye walishindwa kufanya chochote ambacho unaweza ukakitaja kwa kujivuna na wakati huo walikuwa bado wana nguvu almost kama vijana wataweza vipi? wakati huu wa uzee. Biology inasema ivi mtu anapozeeka performance ya ubongo wake inashuka.
 
Hata hivyo CCM iondoke tu. Hao wameshakuja na kuongozwa sala ya toba na kuingia katika gari la mabadiliko. Hata angekuwa Mkapa ilimradi anaongoza kuuondoa mfumo huu mbovu angeshabikiwa tu. Pole gamba

mkuu hawawezi kuja huko kuuondoa 'mfumo' kama upo huo mfumo. wanataka waende ukawa watengeneze kichaka chao kingine cha kupigia hela

mtu mzima mzoefu kama huyo mtampeleka seminar ya wapi mkamfunde anavyotakiwa kuwa mwadilifu?
 
Inashangaza wagombea hawa, wanaoshabikiwa na kundi kubwa la Watanzania, Walikuwa serikalini, wakiwa kama wasimamizi wakuu wa shughuli za Serikali, leo wanaongea utafikiri wao ni wapya, tunawashangilia eti kwasababu tumeichoka CCM.

Mimi ni mmojawapo kati ya walioichoka CCM, lakini kuniletea waliokuwa mawaziri wakuu ambao wanasimama majukwaani na kuikosoa serikali ambayo kwa miaka 13 wao wamekuwa ni viongozi wakuu katika shughuli za Serikali ni mchezo wa kuigiza.

Sumaye miaka 10 umeshau nini huko serikali, huyo unayemnadi Lowassa amesahau nini kama sio njama za kuwahuumu watanzania.


vs 54yrs of CCM!
 
Sawa Kenya walimchagua Mwai Kibaki. Je? Mwai Kibaki alifanya kipi ambacho ni outstanding na remarkable ambacho kinaweza kukumbukwa Kenya. Wekenya wengi wanadai wanamkumbuka Mwai Kibaki kwa kuleta
machafuko baada ya kuboronga katika uongozi wake. Kama Lowassa na Sumaye walishindwa kufanya chochote ambacho unaweza ukakitaja kwa kujivuna na wakati huo walikuwa bado wana nguvu almost kama vijana wataweza vipi? wakati huu wa uzee. Biology inasema ivi mtu anapozeeka performance ya ubongo wake inashuka.

Ccm out...Majungu na fitna havina nafasi hapa
 
Heeeee tumewachookeni mbona blablah nyiiingi jamani mnatupigia kelele na Lowassa wetu(in bibi's voice)
 
hawa mawazo yao siku zote ni kuongoza wao na familia zao walipotolewa nje ya system ndio wanakuja kutuhubiria mabaya ya ccm mimi ingawa nilikuwa naichukia ccm siwezi kuwapa kura kumbuka wote hao watoto wao wameajiriwa bot kwenye zile ajira zinazolalamikiwa za upendeleo kwani kipindi hicho walikuwa hawaoni ubaya wa ccm
 
Wakati KANU inakufa Kenya walichagua mpinzani Mwai Kibaki ambaye alishakuwa makamu wa raisi wa Moi,huwezikupata watu wapya kabisa kwenye siasa tunachotaka ni kuutoa mfumo wa CCM basi.CCM OUT

Nani aliekuambia huwezi kupata watu wapya ktk siasa ww ni mgeni ktk dunia hii au ni mgeni ktk siasa?
Jiulize dr slaa alitoka wp mbowe alitoka wapi zito alitoka wp nk?
Huyo kibaki aliwafanyia nini wakenya au huijui kenya?
Leo hii uhuru anawafanyia nini wakenya leo hii kenya kila sehemu kuna nuka damu za binaadam achilia mbali maisha magumu yanayo wakabili maskini wa kinya.
Achilia mbali deni la taifa lilivyo fikia kiwango cha mwisho cha kuto kokopesheka.
Kenya tabaka la matajiri na maskini ni refu sana maskini ni maskini kweli.
Ndugu ktk nchi za kiafrika hakuna hata nchi moja iliyo neemeka na kwa kukiondowa chama cha ukombozi.
Zambia tu hapo walipo muondoa mzee kaunda chamoto wamekiona.
Wazambia wakati wa mzee kaunda walikuwa na kila kitu na tulikua dar wakati huo hatukuwa tukiwaona wazambia kariokoo leo wazambia wamejaa kko kukununu bidhaa.
Enzi za kaunda tshg ulikuwa huwezi kuitumia hata pale nakonde leo tshg unaitumia lusaka.
Enzi za kinyata nairobi ilikuwa landan ndogo hata baba wa taifa alikuwa anatuambia tusikimbilie landan ya uk twende landan ndogo ya nairobi.
Leo dar inaongoza kwa majengwa majefu imeizidi landan ndogo.
Asikudanganye mtu sisi tulio kuwepo tokea miaka ya shida tumeona jitihada za viongozi wetu na mafanikio yalio patikana.
Miaka 30 iliyopita mtumishi wa umma alikuwa akihimishiwa mtwara alikuwa anajiona kama amehukumiwa kunyongwa leo hii kila mtumishi anatamani ahamishiwe mtwara.
Someni ulizeni muijue nchi yenu musidanganywe na watu wanao tamani madaraka na utajiri.
 
Back
Top Bottom