Recent content by dux limit

  1. dux limit

    JamiiForums Tanzania Mbunge wangu Mwigulu Nchemba, mbona umepoa sana?

    Unaposema eti wamepewa vitengo vinavyowaficha kisiasa si kweli..! Unamkumbuka Agustino Mrema? Wizara ikiwa na matatizo mengi ndio mtaji mzuri sana kwa mwanasiasa kujijenga, kwani ukifanikiwa kuyamaliza ni lazima utaongeza umaarufu zaidi na kuwa tishio. Lkn wote hao wanafeli kwa sababu hawana...
  2. dux limit

    JamiiForums Tanzania Kosa kubwa sana CHADEMA wamefanya kusema Serikali ndiyo iliyomshambulia Tundu Lissu bila ushahidi wowote!

    Zitamuangusha kitaaluma, kivipi? Inaama wataamisha ubongo wa Lissu na kumpatia Lusinde...?
  3. dux limit

    JamiiForums Tanzania CHADEMA hebu mtueleze hii 'Critical but stable' inamaanisha nini au ni lugha ya upigaji?

    Rejea utafiti wa TWAWEZA utagundua aliyeuliza swali anatoka upande gani. Viongozi wao wanawasisitiza wajue kusoma na kuandika tu.
  4. dux limit

    JamiiForums Tanzania Edward Lowassa ashiriki kampeni za Uhuru Kenyatta

    Umewazoea na nani? Kuna watu Mwnyz Mungu vichwa vyenu aliviumba na uwezo wa kubeba nywele zenu tu. Sent from my MotoG3 using JamiiForums mobile app
  5. dux limit

    JamiiForums Tanzania Edward Lowassa ashiriki kampeni za Uhuru Kenyatta

    We ni wazo gani ulilojadili hapo zaidi ya kurukaruka kama panzi baada ya shamba kupuliziwa dawa ya wadudu? Sent using Jamii Forums mobile app
  6. dux limit

    JamiiForums Tanzania Edward Lowassa ashiriki kampeni za Uhuru Kenyatta

    Magufuli mbn alishiriki kumsaidia odinga. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. dux limit

    JamiiForums Tanzania Natafuta mawe haya kutoka Kondoa

    Ok asante, nakucheki Sent using Jamii Forums mobile app
  8. dux limit

    JamiiForums Tanzania Natafuta mawe haya kutoka Kondoa

    Nani anaiona number PM Sent using Jamii Forums mobile app
  9. dux limit

    JamiiForums Tanzania Natafuta mawe haya kutoka Kondoa

    Kupeana mawasiliano nayo ni mvutano? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. dux limit

    JamiiForums Tanzania Natafuta mawe haya kutoka Kondoa

    Ni PM number Sent using Jamii Forums mobile app
  11. dux limit

    JamiiForums Tanzania Natafuta mawe haya kutoka Kondoa

    Tanga na morogoro Sent using Jamii Forums mobile app
  12. dux limit

    JamiiForums Tanzania Natafuta mawe haya kutoka Kondoa

    Nina mashimo yanatoa. Hapa sina picha next week nitakuwa site nilikuwa nimetoka. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. dux limit

    JamiiForums Tanzania Natafuta mawe haya kutoka Kondoa

    Rubnut na hiyo chocolate fellispa mimi ninayo. Ofa yako vipi? Sent using Jamii Forums mobile app
  14. dux limit

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa TEMEKE, Abdallah Mtolea (CUF) alala Korokoroni, Bima ya gari yamponza

    Kuendesha gari isiyokuwa na insurance siyo kosa km utakuwa na cash, kwani ata sheria haikulazimishi kukata insurance endapo unauwezo wa kulipia tatizo lolote utakalo kuwa umesababisha. Yaani ni muhimu kuwa na bima,lkn si lazima. Mfn: Kila raia ni muhimu kuweza kuwa na bima ya afya ili uweze...
  15. dux limit

    JamiiForums Tanzania Ni aibu kwa USA kutotambua Uislam katika sherehe za kuapishwa kwa Trump

    Nchi za kiarabu huwa zinatambua ukristo wakati wa kuapisha.?
Back
Top Bottom