CHADEMA hebu mtueleze hii 'Critical but stable' inamaanisha nini au ni lugha ya upigaji?

Kkimondoa

JF-Expert Member
May 31, 2014
4,453
4,933
Naona hilo neno limetamalaki sana kwenye matibabu ya Lissu. Nilianza kulisikia kwa Mbowe nikaja kulisikia tena kwa Msigwa, hebu kuweni wawazi mnamaanisha nini?

Pamoja na kwamba tafsiri yake inafahamika lakin kwanini iwe kama wimbo? Hebu mtoe taarifa rasmi ya hali ya Lissu kwa lugha zinazoeleweka kwa kila Mtanzania maana mnatutia mashaka.

Suala la Lissu lisije likawa ni daraja la kutunisha mifuko.
 
image.jpeg
image.jpeg


Mkuu mleta mada,mtu anaposema "Critical but Stable",ina maana ni ile hali ambayo mtu anakuwa katika maumivu makubwa sana na mateso ya mwili lakini HAKATI TAMAA.

Yaani unakuta mgonjwa anaumwaa,mnaomuuguza ndio mnakata tamaa na kutoa machozi,lakini yeye ndio kwanza anawatia moyo na wakati mwingine hata kuwapigisha story za kuwachekesha.

Ndiyo hali aliyonayo ndugu yetu Lissu,anaumwa sana,Lakini akipata nafasi ya kuongea atasema "Tumeshinda,Tumeshashinda"....Au wakati mwingine anamtazama mkewe katika lindi la machozi...Atamwambia "Tell my Twins,Daddy has has survived to tell a tale"

Hali hii huwakuta watu wenye ujasiri tu,ndio maana kabla ya kwenda Nairobi kumuona Lissu,Zitto Kabwe alijiweka katika kundi la watu majasiri,lakini alivyofika kule na kuona hali ya Lissu,akaamua kusema "UJASIRI NI LISSU"...

Che Guavara katika dakika za mwisho za mateso,kwenye bomba la maji ya siki,aliwakazia macho watesi wake na kuwaambia "I KNOW U ARE HERE TO KILL ME,SHOOT ME,COWARD,YOU ARE GOING TO KILL A MAN"

Che Guavara was in a Critical Condition but Stable....Wachache kama Lissu ndio wanaweza kuwa na hali hiyo
 
View attachment 592747 View attachment 592747

Mkuu mleta mada,mtu anaposema "Critical but Stable",ina maana ni ile hali ambayo mtu anakuwa katika maumivu makubwa sana na mateso ya mwili lakini HAKATI TAMAA.

Yaani unakuta mgonjwa anaumwaa,mnaomuuguza ndio mnakata tamaa na kutoa machozi,lakini yeye ndio kwanza anawatia moyo na wakati mwingine hata kuwapigisha story za kuwachekesha.

Ndiyo hali aliyonayo ndugu yetu Lissu,anaumwa sana,Lakini akipata nafasi ya kuongea atasema "Tumeshinda,Tumeshashinda"....Au wakati mwingine anamtazama mkewe katika lindi la machozi...Atamwambia "Tell my Twins,Daddy has has survived to tell a tale"

Hali hii huwakuta watu wenye ujasiri tu,ndio maana kabla ya kwenda Nairobi kumuona Lissu,Zitto Kabwe alijiweka katika kundi la watu majasiri,lakini alivyofika kule na kuona hali ya Lissu,akaamua kusema "UJASIRI NI LISSU"...

Che Guavara katika dakika za mwisho za mateso,kwenye bomba la maji ya siki,aliwakazia macho watesi wake na kuwaambia "I KNOW U ARE HERE TO KILL ME,SHOOT ME,COWARD,YOU ARE GOING TO KILL A MAN"

Che Guavara was in a Critical Condition but Stable....Wachache kama Lissu ndio wanaweza kuwa na hali hiyo
Asante kwa kuwadadavulia vihiyo wa Lumumba mkuu na division 5 zao
 
View attachment 592747 View attachment 592747

Mkuu mleta mada,mtu anaposema "Critical but Stable",ina maana ni ile hali ambayo mtu anakuwa katika maumivu makubwa sana na mateso ya mwili lakini HAKATI TAMAA.

Yaani unakuta mgonjwa anaumwaa,mnaomuuguza ndio mnakata tamaa na kutoa machozi,lakini yeye ndio kwanza anawatia moyo na wakati mwingine hata kuwapigisha story za kuwachekesha.

Ndiyo hali aliyonayo ndugu yetu Lissu,anaumwa sana,Lakini akipata nafasi ya kuongea atasema "Tumeshinda,Tumeshashinda"....Au wakati mwingine anamtazama mkewe katika lindi la machozi...Atamwambia "Tell my Twins,Daddy has has survived to tell a tale"

Hali hii huwakuta watu wenye ujasiri tu,ndio maana kabla ya kwenda Nairobi kumuona Lissu,Zitto Kabwe alijiweka katika kundi la watu majasiri,lakini alivyofika kule na kuona hali ya Lissu,akaamua kusema "UJASIRI NI LISSU"...

Che Guavara katika dakika za mwisho za mateso,kwenye bomba la maji ya siki,aliwakazia macho watesi wake na kuwaambia "I KNOW U ARE HERE TO KILL ME,SHOOT ME,COWARD,YOU ARE GOING TO KILL A MAN"

Che Guavara was in a Critical Condition but Stable....Wachache kama Lissu ndio wanaweza kuwa na hali hiyo
.....
.....Mkuu Barafu asante kwa Ufafanuzi
 
View attachment 592747 View attachment 592747

Mkuu mleta mada,mtu anaposema "Critical but Stable",ina maana ni ile hali ambayo mtu anakuwa katika maumivu makubwa sana na mateso ya mwili lakini HAKATI TAMAA.

Yaani unakuta mgonjwa anaumwaa,mnaomuuguza ndio mnakata tamaa na kutoa machozi,lakini yeye ndio kwanza anawatia moyo na wakati mwingine hata kuwapigisha story za kuwachekesha.

Ndiyo hali aliyonayo ndugu yetu Lissu,anaumwa sana,Lakini akipata nafasi ya kuongea atasema "Tumeshinda,Tumeshashinda"....Au wakati mwingine anamtazama mkewe katika lindi la machozi...Atamwambia "Tell my Twins,Daddy has has survived to tell a tale"

Hali hii huwakuta watu wenye ujasiri tu,ndio maana kabla ya kwenda Nairobi kumuona Lissu,Zitto Kabwe alijiweka katika kundi la watu majasiri,lakini alivyofika kule na kuona hali ya Lissu,akaamua kusema "UJASIRI NI LISSU"...

Che Guavara katika dakika za mwisho za mateso,kwenye bomba la maji ya siki,aliwakazia macho watesi wake na kuwaambia "I KNOW U ARE HERE TO KILL ME,SHOOT ME,COWARD,YOU ARE GOING TO KILL A MAN"

Che Guavara was in a Critical Condition but Stable....Wachache kama Lissu ndio wanaweza kuwa na hali hiyo
Che kumbe alikuwa na unyafuzi. Hiko sio kitambi ni ukosefu wa mlo bora Bolivia
 
View attachment 592747 View attachment 592747

Mkuu mleta mada,mtu anaposema "Critical but Stable",ina maana ni ile hali ambayo mtu anakuwa katika maumivu makubwa sana na mateso ya mwili lakini HAKATI TAMAA.

Yaani unakuta mgonjwa anaumwaa,mnaomuuguza ndio mnakata tamaa na kutoa machozi,lakini yeye ndio kwanza anawatia moyo na wakati mwingine hata kuwapigisha story za kuwachekesha.

Ndiyo hali aliyonayo ndugu yetu Lissu,anaumwa sana,Lakini akipata nafasi ya kuongea atasema "Tumeshinda,Tumeshashinda"....Au wakati mwingine anamtazama mkewe katika lindi la machozi...Atamwambia "Tell my Twins,Daddy has has survived to tell a tale"

Hali hii huwakuta watu wenye ujasiri tu,ndio maana kabla ya kwenda Nairobi kumuona Lissu,Zitto Kabwe alijiweka katika kundi la watu majasiri,lakini alivyofika kule na kuona hali ya Lissu,akaamua kusema "UJASIRI NI LISSU"...

Che Guavara katika dakika za mwisho za mateso,kwenye bomba la maji ya siki,aliwakazia macho watesi wake na kuwaambia "I KNOW U ARE HERE TO KILL ME,SHOOT ME,COWARD,YOU ARE GOING TO KILL A MAN"

Che Guavara was in a Critical Condition but Stable....Wachache kama Lissu ndio wanaweza kuwa na hali hiyo
Huyo ni mateka au mgonjwa
 
Haya wewe mwerevu naomba utueleweshe sisi wajinga pale anaposema yupo CRITICAL lakin STABLE anamaanisha nini?
Mkuu
Soma post no.8 Barafu amefafanua vizuri tu. kujifunza kwa wengine wanaojua zaidi yetu siyo dhambi. Na hakuna mtu anayejua kila kitu. Ni vizuri mleta mada ameuliza na jibu limetolewa na kwa wanaotaka kujua wamejua. Lakini wabishi wanaruhusiwa kuendelea na ubishi wao maana hao hawakosekani.
 
View attachment 592747 View attachment 592747

Mkuu mleta mada,mtu anaposema "Critical but Stable",ina maana ni ile hali ambayo mtu anakuwa katika maumivu makubwa sana na mateso ya mwili lakini HAKATI TAMAA.

Yaani unakuta mgonjwa anaumwaa,mnaomuuguza ndio mnakata tamaa na kutoa machozi,lakini yeye ndio kwanza anawatia moyo na wakati mwingine hata kuwapigisha story za kuwachekesha.

Ndiyo hali aliyonayo ndugu yetu Lissu,anaumwa sana,Lakini akipata nafasi ya kuongea atasema "Tumeshinda,Tumeshashinda"....Au wakati mwingine anamtazama mkewe katika lindi la machozi...Atamwambia "Tell my Twins,Daddy has has survived to tell a tale"

Hali hii huwakuta watu wenye ujasiri tu,ndio maana kabla ya kwenda Nairobi kumuona Lissu,Zitto Kabwe alijiweka katika kundi la watu majasiri,lakini alivyofika kule na kuona hali ya Lissu,akaamua kusema "UJASIRI NI LISSU"...

Che Guavara katika dakika za mwisho za mateso,kwenye bomba la maji ya siki,aliwakazia macho watesi wake na kuwaambia "I KNOW U ARE HERE TO KILL ME,SHOOT ME,COWARD,YOU ARE GOING TO KILL A MAN"

Che Guavara was in a Critical Condition but Stable....Wachache kama Lissu ndio wanaweza kuwa na hali hiyo

Kwa kuongeze Mkuu, kitaalam ni mtu aliyekuwa na majeraha makubwa au ungonjwa ulioshambuia sehemu za mwili zisizo hatarishi kwa uhai wake....

Kwa mfano Majeraha ya Lissu yapo kwenye misuli ya miguu, Nyonga, bega na misuli ya tumbo, ila hana majeraha ya Moyo, Ini, Mapafu wal ubongo, kwahiyo hana dalili (Vital Sign-ziko stable) zozote zinazoashiria mwili kshindwa kufanya kazi zake kama mtu ambaye ni mzima kabisa......
 
Back
Top Bottom