Recent content by dutta hangaya

  1. D

    'Ujinga' wa Ikulu unarudi kwa kasi

    Kumbuka hapa hakuna hata sheria moja iliyotungwa ndani ya awamu ya Magufuli, zote ni zaawamu zilizopita kwa hili laumu awamu zilizotunga sheria hii.
  2. D

    Rais Mstaafu Kikwete amtambulisha Makamu wa Rais Mama Suluhu kwa Rais wa China

    Labda JPM apunguze tafsida maana inaonekana JK hakuielewa kauli ya kwamba "Watu wamesafiri safari nyingi za nje, kuliko hata kwenda kuwasalimu wazazi wao kijijini"
  3. D

    Rais Magufuli acha kumdhalilisha Kikwete

    Kwa upande wa miradi ya ujenzi tu, unajua kuna wakandarasi wangapi wanaidai nchi hii na miradi mingapi imesimama kwa ajili ya hilo? Unajua kuwa Serikali inadaiwa hadi stationary! Leo hii unasema safari za nje zilikuwa na tija! Alipoenda na wafanyabiashara 500 nje ya nchi kwa gharama za serikali...
  4. D

    CHADEMA waanza kumkumbuka Dr Slaa

    Haiingii akilini unachukua Monduli unaachi jimbo kama la Ilemela
  5. D

    CHADEMA waanza kumkumbuka Dr Slaa

    Unapopoteza jimbo kama la Ilemela na kuchukua Monduli sidhani kama inaingia akilini.
  6. D

    Mungu nisamehe, nimekula kuku na mayai yake

    Pamoja na mambo mengine samahani naomba kujua, wakati unafanya ulikuwa hujui kwamba hawa ni mama na mwanaye?
  7. D

    Dr. Magufuli, Genius anayepambana na wagombea dhaifu

    Jambo hili linahitaji ufahamu wa ziada otherwise kichwa kitauma.
Back
Top Bottom