Recent content by dureal seboo

  1. D

    Kigoma Mjini Wamkana Zitto Kabwe na Kigoma Kaskazini Serukamba amekataliwa

    Kuna watu wana takwimu za uongo na uyo moja wapo nahis katumwa na mbowe
  2. D

    Uchaguzi huu October 2015, Ni Mahakama ya Kadhi V/S CCM. (Tutaona nani Mshindi).

    Kama aujasoma n ww wapo wanasheria wa kiislam na wana degree za sheria ya kiislam hv unavyofikir turkey, saudi , yemen , watu wakienda kusoma unajua wanaenda kusoma nn kule shekhe wng quraan aijaacha kitu unataka mwanamke awe hakimu hv ww unaweza kuniambia nafas ya mwanamke ktk din ya kiislam...
  3. D

    Uchaguzi huu October 2015, Ni Mahakama ya Kadhi V/S CCM. (Tutaona nani Mshindi).

    Hv kweli muislam unaongea hvyo din inasema muongozo wetu uwe quraan kisheria ndo maana kuna mahakama ya kadh ambayo mahakama iyo sheria zake znatoka kwenye quraan din inasema tufuaten sheria za din mpka kwenye ukumu zetu tutaongozwa na quraan il waislam wakutane eneo ambalo haki itafanyika...
  4. D

    Watoto 147 wakutwa misikitini Kilimanjaro

    Mbona wanafunz walio maliza six walipelekwa jkt walimu wameenda jkt nn mbele yake nchi yetu inavita hii kwann watto wa kiislam wanafanya mazoez mnaanza kuongea achenu zenu
  5. D

    Watoto 147 wakutwa misikitini Kilimanjaro

    Quraan imesema watoto wafanye mazoe ya ngumi mpka upanga wajifunze kuushika hao wanafunz wanafunzwa din na mazoez pia mnataka wajifunze ushoga au achen zenu hzo
  6. D

    Sasa ni dhahiri ACT kipo kupunguza kura za UKAWA mwaka huu!

    Ipo cku wataondoka madarakan hawana miaka ming wataondoka
  7. D

    Katiba Inayopendekezwa si ya CCM

    Katiba n ya ccm kweli c walibak wenyewe bungen katba ya wananchi waliikataa aipt katba yao kila mtu anahaki tusilazimishane kama ww utaipa kura ya ndio ipe mm hapana
  8. D

    Kitendawili cha Rais wa Awamu ya Tano wa Tanzania...

    Salim Ahmed salim uyu ndo rais
  9. D

    Baregu au Tundu Lissu kusimama nafasi ya Uras kwa tiketi ya UKAWA

    Ninavyofikiria mim mawazo yng wadau lissu na baregu apana ukawa kwa upande wa Tanganyika mbatia anafaa
  10. D

    Kutongoza wanawake walioolewa ni rahisi kuliko wasioolewa

    N dhambi kubwa sana kwa mungu adhabu yake amna anayeiweza apo apo kuna waislam apo apo wanadhin halaf wanataka mahakama ya kadh n nan atakayeweza iman atuna
  11. D

    Mzee Yussuf awataka wasanii kuipa kula ya ndio katiba pendekezwa

    Usitake kutukera imba taarbu iyo ndo sehemu yako yamaisha subir kampen zianze ufanye ziara na chama chako mambo mengne usiguse achana nayo
  12. D

    Askari wawili wauawa na majambazi Kongowe

    Zaman walikua wanaangalia mwil power ya mtu kimo lkn ssa hiv wanaangalia chet ujanja ujanja wa mkono mrefu bado sana watakufa weng uku tanga wanapokonywa mpka silaa bna
  13. D

    Kama umeshawahi kuachwa ulimsahau vipi na ukawezaje kusonga mbele

    Kila penz linauzito wake ndan ya moyo mfano mm apa nilachwa na mtu ambaye alikua kla k2 kwng ilfka wakt nikahis n wng wa maisha skuwai kufikiria ata siku moja kama ataweza kuniacha kiufup niljisahau na penz lake sku ilpofika niliona miujiza kiukwel nlkonda nlkua tofaut na wengne ilfka kpnd nkawa...
  14. D

    Mahakama ya Kadhi: Wabunge wafanya vurugu wakati wa Semina

    Nchi yetu inaelekea chaguz kuu kila mbunge anataka kujsafsha na kuonekana anakua mkn na jmbo lake wabunge wa kiislam mnataka kadh waislam mnataka kadh mtaweza sheria mnazijua lkn ya mahakama ya kadh au mtarud kwa pilato tu hzo mahakama zitajaaa vumb
Back
Top Bottom