Kama aujasoma n ww wapo wanasheria wa kiislam na wana degree za sheria ya kiislam hv unavyofikir turkey, saudi , yemen , watu wakienda kusoma unajua wanaenda kusoma nn kule shekhe wng quraan aijaacha kitu unataka mwanamke awe hakimu hv ww unaweza kuniambia nafas ya mwanamke ktk din ya kiislam...
Hv kweli muislam unaongea hvyo din inasema muongozo wetu uwe quraan kisheria ndo maana kuna mahakama ya kadh ambayo mahakama iyo sheria zake znatoka kwenye quraan din inasema tufuaten sheria za din mpka kwenye ukumu zetu tutaongozwa na quraan il waislam wakutane eneo ambalo haki itafanyika...
Mbona wanafunz walio maliza six walipelekwa jkt walimu wameenda jkt nn mbele yake nchi yetu inavita hii kwann watto wa kiislam wanafanya mazoez mnaanza kuongea achenu zenu
Quraan imesema watoto wafanye mazoe ya ngumi mpka upanga wajifunze kuushika hao wanafunz wanafunzwa din na mazoez pia mnataka wajifunze ushoga au achen zenu hzo
Katiba n ya ccm kweli c walibak wenyewe bungen katba ya wananchi waliikataa aipt katba yao kila mtu anahaki tusilazimishane kama ww utaipa kura ya ndio ipe mm hapana
N dhambi kubwa sana kwa mungu adhabu yake amna anayeiweza apo apo kuna waislam apo apo wanadhin halaf wanataka mahakama ya kadh n nan atakayeweza iman atuna
Zaman walikua wanaangalia mwil power ya mtu kimo lkn ssa hiv wanaangalia chet ujanja ujanja wa mkono mrefu bado sana watakufa weng uku tanga wanapokonywa mpka silaa bna
Kila penz linauzito wake ndan ya moyo mfano mm apa nilachwa na mtu ambaye alikua kla k2 kwng ilfka wakt nikahis n wng wa maisha skuwai kufikiria ata siku moja kama ataweza kuniacha kiufup niljisahau na penz lake sku ilpofika niliona miujiza kiukwel nlkonda nlkua tofaut na wengne ilfka kpnd nkawa...
Nchi yetu inaelekea chaguz kuu kila mbunge anataka kujsafsha na kuonekana anakua mkn na jmbo lake wabunge wa kiislam mnataka kadh waislam mnataka kadh mtaweza sheria mnazijua lkn ya mahakama ya kadh au mtarud kwa pilato tu hzo mahakama zitajaaa vumb
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.