Kwahyo ww umefuata nywele pale, kweli haupo tayar kuoa ahirisha ndoa ujipange upya mana hta hyo unaetarajia kumuoa utamtesa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikua huku takribani wiki km tatu hv, vp ameshapatikana ama bdo nije, wa kaskazini mwenzio mimi ila nipo mbali nasaka maisha, km bdo hajptikana ni pm tuyajenge
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikajua unaakili kumbe chenga tu, ulivomfata na akakwambia ukweli ungemshukur na hatua nzr ungemuoa kabisa unakuja kutusimulia jinsi ulivyo mkimbia, vp angekaa kmya bila kukwambia ungejisikiaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan kufika 30 ndo mwisho wa ujana au ndohutazaa tna km hujaolewa?? Na wap imeandikwa kua km hujaolewa had kufka 30 hufai tna kuolewa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wachache sana ndo hufanya hvyo ila wengi wenu hujitazama tu pengne mtoa mada kakutana na hao wasiojua kuandaa na me nshakutana nao wengi tuu hta umfundishe akisha simamisha moja kwa moja anataka kupush fast apee baada ya hpo mchezo umeisha ni kukoroma tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.