Asante ndugu kwa kutoa ufafanuzi wa hoja yangu kwa mheshimiwa Dkt. Magufuli. Kimsingi hapa tulipofikia tumempata mchapa kazi. Kwa mtazamo wangu bado hatujafikia pahala pa kuanza kusingizia suala la mabadiliko ya tabia ya nchi. Bado tuna nafasi ya kufanya mabadiliko kwa kuangalia pia hatua...
Natoa hongera zangu kwa Mhe. Dkt. John Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ni siku chache tangu aapishwe katika nafasi hiyo na mabadiliko yameanza kuonekana.
Hivi sasa kuna mkutano wa kimataifa unaendelea huko Paris kuhusu mabadiliko ya tabia ya nchi. Mhe. Rais nchi yetu pamoja...
Hongera sana Rais wetu Magufuli. Nchi hii imejaliwa rasilimali zote zitakazotajwa duniani. Kwa nini watu wateseke? Kwa nini watu wafe kwa kushindwa kununua panadol?
Tungepata testa ya kupima kila kaburi leo ili kutambua kilichosababisha vifo vya wapendwa wetu tungesikitika sana. Vifo vingi...
Ndugu asante kwa kunijulisha. Nimejaribu kupiga namba ya simu ya Adolf 0652393393 system inasema namba hiyo haipo, tafadhali Adolf tupatie namba ili tuwasiliane tafadhali tunateseka sana na ugonjwa huu
Salam wana JF.
Mimi ni mhanga wa ugonjwa wa typhoid ambao umeweka makazi mwilini mwangu. Kila nikitumia dawa baada ya muda mfupi unarudia tena.
Nimesoma thread mbalimbali nimeona dawa moja ya asili inaitwa songwa...nyanya pori.
Wana JF kwa mwenye kuijua dawa hii na namna ya kupatikana...
Wana JF hongereni kwa ushauri na mijadala yenye kusaidia jamii. Nasumbuliwa na malaria mara kwa mara, nahisi usugu umejengeka sasa. Naomba mwenye kujua dawa ya asili anijuze ili na wengine wapate kupona. Mungu awabariki
Mbaya zaidi ugonjwa huu umebaki midomoni kama siasa tu. Kuna mwanaJF mmoja aliwahi shauri kuwa serikali iangalie uwezeka wa kuwatafuti "UKIMBIZI WA MAGONJWA" wahanga wa magonjwa ya typhoid na malaria sugu katika nchi ambazo hazina magonjwa haya hususani nchi za baridi. Nafikiri pia dawa hiyo...
Lol! Na bado. Enewei CCM kupitia Nape na CHADEMA wamekuwa kinyume. Nakumbuka kauli ya AG "hatukupewa vichwa ili tufugie nywele" Hii ndiyo exit point ya CCM. Nakumbuka swali hili kwenye somo la History "The colonial rule planted the seed of its own destruction". Discuss. Swali hili naliona likiwa...
TBC ilipopewa jina hili iliboreshwa sana, lakini leo imerudi kule enzi za TVT. When will we wake up? Kwenye dhifa za kitaifa maonesho ya moja kwa moja mara giza na kwamba "battery low"...anyway. Bado siye wachanga na kwamba hatuwezi kujifujinza kwa wengine...basi ni vilema.
Wana JF nachukua nafasi kutoa yangu yaliyo moyoni. DCI Manumba karejea nchini baada ya kuugua malaria na kulazwa Muhimbili, Agha Khan TZ na Mill Park SOUTH. Hii ni ishara tosha kwamba malaria ni janga. Dawa kwa majina tofauti zimekuwepo lkn malaria bado inasumbua. Cha kushangaza ni kuona ugonjwa...
Hivi karibuni kumekuwepo kwa mgogoro kati ya wananchi wa kijiji cha Manchali na Chalinze Dodoma. Mgogoro huu umechochewa na mradi wa umeme ambao umeelekezwa katika kijiji cha Manchali na kwenye pampu ya maji iliyo kijiji cha Chalinze. Mgogoro huo ni juu ya maji na umeme. Je, ni busara ipi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.