Recent content by DUNIAPANA

  1. D

    Tupe maoni, ushauri, dokezo: Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Wenye Makundi Maalum

    Ndugu Waziri, Naomba kufahamu, kwa nini NSSF wameagiza Sisi Wastaafu tunaochukua Pension Benki ya TCB tusikope tena hadi tumalize mikopo tuliyonayo? Kulikua na " Top up", lakini Sasa wanasema, NSSF wanazuia!!! Pensheni ndogo, tusaidieni angalau mikopo tafadhali Kiongozi.
  2. D

    Rais Samia Ondoa hiki kikokotoo kinawaumiza wastaafu

    Na Sasa Benki, hasa TCB, hazifanyi Top up ya Mikopo ya Wastaafu mpaka umalize Deni walisema NSSF wametoa katazo Hilo!!! Riba kwa Mikopo ni kubwa. Mnatuua mapema. Serikali tunaomba mrekebishe hili. Bima inakatwa kwenye Mkopo, Riba ya tarakimu mbili, kwa nini mnatunyima Top up!!??
  3. D

    Premio old model

    Njoo inbox. Ipo. Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
  4. D

    Kufuatia msiba wa Malkia wa Uingereza, kwanini bendera Tanzania haipepei nusu mlingoti?

    Acha kujipendekeza. Fikra za kikoloni hizi. Angalia historia ujue jinsi gani walitudhalilisha na kupora Mali na Utu wetu hao. Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
  5. D

    Waziri Juma Aweso, sifa zake zinatoka wapi? Mbona matatizo ya maji ni mengi mno

    Njoo Mbutu Kichangani Kigamboni mtaa wa Shirikisho Tumeshafuatilia sana Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
  6. D

    Si vibaya kuajiri akili kubwa kutoka nje!

    Bandiko mujarabu hili. Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
  7. D

    Nimefanikiwa kuacha kunywa soda

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  8. D

    Mitsubishi 3.5 tons light truck ipo sokoni

    ​inauzwa mitsubishi light truck ya 1998, 3.5 tons ,short-wide body, 91,000 km ,2835 cc, imesajiliwa t 616 btd , road licence mpaka june 2012, bima safi ,bie milioni 20 tu. Contact 0755 633300
  9. D

    Nabii Flora wa Mbezi DSM ameumbuka Uchaguzi Arumeru!

    Tapeli , taking advantage of ignorant and poverty stricken Wananchi.
  10. D

    Gari aina ya Pick Up

    Toa details unazotaka. Ipo Mitsubishi, tani 3 , Modeli ya Canter , Milioni 23 , mazungumzo yapo , Imesajiliwa , ya 1998 ; KM 90,000.
  11. D

    3.5 tons mitsubishi canter for sale by owner

    Njoo uchukue kwa 23 m
  12. D

    3.5 tons mitsubishi canter for sale by owner

    Tsh 25 Million Negotiable
  13. D

    3.5 tons mitsubishi canter for sale by owner

    ​MITSUBISHI CANTER : 3.5 TONS ; YEAR 1998 ; 4200 CC : TOURER ; BLUE : REGISTERED T 616 BTD : EXCELLENT CONDITION ; ON SALE BY OWNER AT KIGAMBONI DAR ; serious buyers contact +255 755 633 300
Back
Top Bottom