Ndugu Waziri,
Naomba kufahamu, kwa nini NSSF wameagiza Sisi Wastaafu tunaochukua Pension Benki ya TCB tusikope tena hadi tumalize mikopo tuliyonayo?
Kulikua na " Top up", lakini Sasa wanasema, NSSF wanazuia!!!
Pensheni ndogo, tusaidieni angalau mikopo tafadhali Kiongozi.
Na Sasa Benki, hasa TCB, hazifanyi Top up ya Mikopo ya Wastaafu mpaka umalize Deni walisema NSSF wametoa katazo Hilo!!!
Riba kwa Mikopo ni kubwa.
Mnatuua mapema.
Serikali tunaomba mrekebishe hili.
Bima inakatwa kwenye Mkopo, Riba ya tarakimu mbili, kwa nini mnatunyima Top up!!??
Acha kujipendekeza.
Fikra za kikoloni hizi.
Angalia historia ujue jinsi gani walitudhalilisha na kupora Mali na Utu wetu hao.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
​MITSUBISHI CANTER : 3.5 TONS ; YEAR 1998 ; 4200 CC : TOURER ; BLUE : REGISTERED T 616 BTD : EXCELLENT CONDITION ; ON SALE BY OWNER AT KIGAMBONI DAR ; serious buyers contact +255 755 633 300
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.