16M unasemaje
16M unasemaje
kuna m2 alikua anauza IST 14m- Ukatoa ofa ya 8.5m
hapa gari inauzwa 25m - unatoa ofa ya 16m.
Nimegundua haupo serious. jaribu kuheshimu biashara za watu.
Sawa?
haya magari mimi nayafanyia udalali we hujui hapa ni sokoni nikipa hapo 1M cha juu nakula mwezi mzima