Recent content by dunia tunapita

  1. dunia tunapita

    Ajali ya daladala (UDA) Kimara

    Pole kwa majeruhi wote
  2. dunia tunapita

    Heri ya kuzaliwa matege

    heri ya siku ya kuzaliwa matege
  3. dunia tunapita

    Tunakoelekea badala ya kuitwa vibamia tutaitwa vinjiti vya kiberiti

    hahahaaa! vibamia na njiti mtu akipiga chafya kitu kimetoka
  4. dunia tunapita

    Beyonce na Jay Z washitakiwa kwa kuiba mtoto (Blue Ivy) na kujifanya ni wao

    https://www.youtube.com/watch?feature=player_detailpage&v=bzhxXumqtHU
  5. dunia tunapita

    Beyonce na Jay Z washitakiwa kwa kuiba mtoto (Blue Ivy) na kujifanya ni wao

    Ukweli anaujua mwenyewe kha! https://www.youtube.com/watch?v=7fY_QlpLbXg&feature=player_detailpage
  6. dunia tunapita

    Serikali imekopa mishahara ya July 2014?

    Hivi wataweka lini??? wasipoweka leo ndo hadi jumatatuuuu
  7. dunia tunapita

    Original perfumes kwa bei nzuri

    bei inaanzia shilingi ngapi hadi sh ngapi?
  8. dunia tunapita

    Daudi Kanyau ajenga msikiti na nyumba ya watoto yatima Kibaha

    mmeona picha za bridal shower ya binti yake? ni balaa
  9. dunia tunapita

    Wahaya; Kwa huu utamaduni wenu, mnatuchanganya wageni tunaokuja kwenu!

    na ukoo mwingine ni Mboya, kwa iyo kama ukitanguliza surname duh!!
  10. dunia tunapita

    Huawei 320, sipati intenrt

    nimejaribu hadi hii (Kutoka kwa Wishes) kutoka kwa Wishes ila bado APN hamna pa kuandika. KWA WALE WANAO TUMIA SIMU ZENYE ADROID fungua kwenye seting nenda kwenye Wi-Fi fungua mobile data au mobile networks ukisha fungua hapo nenda kwenye acess point names add new APN name tigo...
  11. dunia tunapita

    Huawei 320, sipati intenrt

    Naombeni mnisaidie. Nina huawei y320 mpya ila haikubali internet kabisa. Nimewapigia Voda wakasema haiwezi unganishwa automaticall ila akanielekeza jinsi ya kuweka manually Settings--Mobile network ON, Roaming ON, APN- Vodacom Internet halafu nisave. Nilivyofanya kama nilivyoelekezwa ikakubali...
  12. dunia tunapita

    Latest smartphone in Tanzania

    Sorry, niangalizie bei ya Huawei G510 ya line mbili na lumia 520
Back
Top Bottom