Recent content by DullyM

  1. DullyM

    Msaada uchimbaji wa mashimo ya vyoo

    Habari wakuu, kama kichwa cha habari kinavyoeleza. naombeni kama kuna mafundi wanajulikana wa kuchimba shimo la choo. 1.) site ipo kigamboni 2) kazi inahitajika kufanyika mwezi wa kwanza 3) uwezekano wa kuweka kambi upo. kutoka kwa fundi. 1) ulete kazi ulizofanya kwa njia ya kuweka picha za...
  2. DullyM

    Mbegu za Mananasi

    wakuu hivi hayo mashamba ya mananasi huko bagamoyo bado yapo( I mean yale yanayomilikiwa na wenyeji) ama wenyeji washauza yote ??
  3. DullyM

    Ramani ya Nyumba hii Inauzwa kulipia HESLB kwa tuliokosa Mkopo wa vyuo vikuu

    Punguza Ulimbukeni Bingwa. Maana hata kama ulikuwa unafanya utani, angaza pa kufanya matani.
  4. DullyM

    To M/s Whoever She is....

    That's What Friends Are For..., by, Dionne Warwick, Stevie Wonder, Gladys Knight, and Elton John.mp4 - YouTube haya kwa wenzetu wenye marafiki na unadhani anastahili hiki chombo. usisite ni kizito kuliko chuma :-)
  5. DullyM

    Online Purchasing

    Dah! wanaweni mi naomba niulize!! hivi hapa kwetu hizi kadi zetu za visacard/ master card - hazina card number, date and the year of expire?? kisha nyuma ya kadi kuna 3 digits ambazo unamalizia kisha wire yoyote ile international inakubali bila kuongea au kujadiliana na benki as long kwenye...
  6. DullyM

    Simart phone for sale

    Dah! ..
  7. DullyM

    Mbwa wa ulinzi anauzwa

    Mkuu acha uhunii!! yaani una maana Dogi kurushiwa mchicha, mzuka ukapanda =D Dah!!! hii hatari kubwa
  8. DullyM

    Kiwanja kinauzwa kipo MBANDE stand

    Dah! matangazo mengine vituko vitupu humu ndani
  9. DullyM

    Treated pine timbers for sale (mbao zenye dawa)

    Sawa sawa Mkuu, Kila la kheri na mchakariko.
  10. DullyM

    Treated pine timbers for sale (mbao zenye dawa)

    Mkuu jina la kottler na utangazaji wako wa biashara haviendani! kama ulivyoweka size za mbao, ungetuwekea na bei zake watu wakajua wakipiga simu haitokuwa upotevu wa vocha.
  11. DullyM

    Kodi toka Watanzania wanaofanya kazi nje ya Tanzania

    Mkuu mi naona bora utafute mada zingine za kuzungumzia ili taifa liendelee. Ingekuwa vizuri ukajaribu kutia changamoto kwenye kodi zinazokusanywa za watanzania waliopo nchini zinatumika vipi kabla hujaanza kutafuta mfarakano na wanaoishi nje! ama mzee na wewe upo katika ukusanyaji? Na...
  12. DullyM

    Shamba EKA MOJA Linauzwa.

    kama kichwa cha habari!Jirani yangu shambani anauza pande lake la shamba lipo kigamboni mbele Ya Dar Zoo takriban km 2. bei ni Tsh. 5.7M kwa mwenye kuhitaji PM kwa maelezo zaidi. siku njema. DullyM
  13. DullyM

    IPad 32GB

    dah kumbe hivi vidude vina bei kwa mtindo huu!!?
  14. DullyM

    Kiwanja kinahitajika haraka

    Mkuu Shark ile kitu yetu mboni ulianiacha nalinda kichuguu kaka ?!??!
Back
Top Bottom