Usiweke haraka kwenye issue kama hizi mkuu.
unaweza kuingizwa mjini kwa haraka, take time ku-deal na issue kama hizi
Mkuu Shark ile kitu yetu mboni ulianiacha nalinda kichuguu kaka ?!??!
$450Mil x Tzs 1,600/$ = Tzs 720Billion.Kuna ambaye thread yake ipo humu embu mcheki ......kiko osterbey dola mil 450!!
kwa bei hiyo maeneo hayo huwezi kupata mkuu, labda cha utapeli.Mie pia nahitaji kiwanja kikubwa kilichopimwa, hiwe tegeta bunju, ununio,bweni, offer yangu kisizidi mil 10
kwa bei hiyo maeneo hayo huwezi kupata mkuu, labda cha utapeli.
Kipo chenye ukubwa wa 20miguu kwa miguu 40, baada ya kinzudi. Kwa hiyo bei yako ila hakijapimwa. Kama mnunuzi kweli ni pm