Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,569
Katika mapendekezo ya bajeti ya Serikali na ile ya Upinzani rasmi bungeni sijasikia kodi toka kwa wafanyakazi wanaofanya kazi nje ya nchi kama moja ya vyanzo vya mapato.
Mojawapo ya nchi inayonufaika na mchango toka hii sekta (export labour) ni Sri Lanka. Tanzania kwa sasa tunazalisha nguvu kazi inayozidi mahitaji ya soko la ndani.
Ni wakati mwafaka kuanza kulegeza masharti ya kupata pass ya kusafiria na kuweka utaratibu wa hawa wenzetu kuchangia pato la Taifa.
Sisi watanzania ni wepesi kusikia mgeni aliyeoko kwenye NGO kodi yake analipa nchini kwake lakini hatufuatilii watu wetu nao waje walipe kodi huku nyumbani.
Kwa kuanzia, ningeshauri pendekezo la Waziri kuvuli kuwa kila Mtanzania ajaze ritani yake kwa mwaka lichukuliwe na serikali na litekelezwe kwa Watanzania wote wenye pass ya kusafiria.
Kielelezo cha Sri-Lanka http://www.cuts-citee.org/pdf/Article-HMPSanjeevani.pdf
Mojawapo ya nchi inayonufaika na mchango toka hii sekta (export labour) ni Sri Lanka. Tanzania kwa sasa tunazalisha nguvu kazi inayozidi mahitaji ya soko la ndani.
Ni wakati mwafaka kuanza kulegeza masharti ya kupata pass ya kusafiria na kuweka utaratibu wa hawa wenzetu kuchangia pato la Taifa.
Sisi watanzania ni wepesi kusikia mgeni aliyeoko kwenye NGO kodi yake analipa nchini kwake lakini hatufuatilii watu wetu nao waje walipe kodi huku nyumbani.
Kwa kuanzia, ningeshauri pendekezo la Waziri kuvuli kuwa kila Mtanzania ajaze ritani yake kwa mwaka lichukuliwe na serikali na litekelezwe kwa Watanzania wote wenye pass ya kusafiria.
Kielelezo cha Sri-Lanka http://www.cuts-citee.org/pdf/Article-HMPSanjeevani.pdf