Recent content by DullyJr

  1. DullyJr

    Kwa Nini Wallace Karia Hastahili Kuwa Rais wa TFF?!, hizi hapa Sababu kuu

    kiufupi kuna maeneo ukiamua kuyatolea macho basi ujinga wako unaonekana hadharani,kama eneo hili la rais wa TFF, inahitaji uwe mjinga kwa asilimia mia moja ndio useme kuwa Karia hafai kuwa kiongozi wa TFF .... itoshe tu kusema wewe ni miongoni mwa wajinga hao.
  2. DullyJr

    2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

    mwenye live streaming aweke maana koora live wamezingua nw
  3. DullyJr

    Kwa Nini Wallace Karia Hastahili Kuwa Rais wa TFF?!, hizi hapa Sababu kuu

    au kosa lile la kuwaambia kaptula za watu wa yanga zimejaa vinyesi ?:D
  4. DullyJr

    Kwa Nini Wallace Karia Hastahili Kuwa Rais wa TFF?!, hizi hapa Sababu kuu

    hivi kwanini ni watu wa yanga tu ndio hawamtaki karia? ukinijibu hili kwanza ndio naweza kucomment chochote
  5. DullyJr

    Ali Kamwe: Kasongo alisema Kuna Kiongozi mkubwa wa Serikali alipiga simu geti la Uwanja wa Taifa lisifunguliwe

    tarehe 14 tunaenda kupasha misuli moto mapema sana mida ya saa 11 hapo mkapa then 15 tunakuja kuchukua point za bure tunajiandaa kwa paredi,ukija kuleta fujo utapigika kama mwizi hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
  6. DullyJr

    Bodi ya Ligi yapigilia msumali suala la derby, yasema ipo na lazima ipigwe Juni 15, 2025

    simba hawajagomea mchezo,bali simba walilalamika na bodi ikaona malalamiko yana logic wakaghairisha,sasa yanga nao wawe na logic bodi iridhike sio kutumia nguvu kubwaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,
  7. DullyJr

    Ali Kamwe: Hatutacheza mchezo wa kombe la Shirikisho CRDB mpaka tulipwe pesa zetu za Msimu uliopita

    huu ni upuuzi na hasira za kishamba zisizo na mantiki yoyote......utoto na ujinga umewajaa hawana hoja wamejawa na mihemko tu, yaani bodi ya ligi inaundwa na vilabu zaidi ya 30 isumbuliwe na mmoja tu..hii nayo ni cheka tu
  8. DullyJr

    Derby ya kariakoo Kuahirishwa ilikuwa siasa tupu

    hakuna lolote hawa hawana hoja,kiufupi mimi nawaunga mkono mpaka kasongo akawakate point 15
  9. DullyJr

    Ali Kamwe: Kasongo alisema Kuna Kiongozi mkubwa wa Serikali alipiga simu geti la Uwanja wa Taifa lisifunguliwe

    aliyesema ni kasongo au alikamwe?hahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
  10. DullyJr

    Pamoja na udhamini wa timu zaidi ya 8 ubingwa mashakani

    aliyekimbia mechi ni yule aliyemzuia mwenzie kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi,kama mlikuwa mnajiamini mngeacha wenzenu wafanye mazoezi ikiwa ni haki ya kikanuni.
  11. DullyJr

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    MWenye link ya game please
  12. DullyJr

    Nyumba ya namna hii yaweza kuwa na thamani kiasi gani?

    15m hadi 18m zaidi ya hapo unaibiwa,kimbia
  13. DullyJr

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    kumcheka mgonjwa ni dhambi....🚶🚶
  14. DullyJr

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    be prepared nyumbuz..... tunaweka kambi hapa mpaka tukiwanyonyoa hapo uwani kwenu ndio tunasepa
  15. DullyJr

    Ukweli lazima usemwe Yanga SC iachane na kuingia mikataba ya udhamini ya kitoto maana ishakua taasisi kubwa Afrika

    Kwahiyo na wewe unalilia simu ya mkopo uletewe huko mbwinde ulipo?
Back
Top Bottom