Hayo ni maneno tu hata kwenye kanga yapo!mbona njombe ndiyo inayoongoza kwa HIV na hakuna chuo hata kimoja,ukimwi upo popote kikubwa zaidi nikujilinda kwanjia unazozijua mwenyewe
Hakuna madisco matamu km ya taarab...mamen wachacheee madem kibao na wakali kinyama nyuma wameshona ile mbaya yani utachezea mpk uchemshe mwenyewe.....
Sipendi taarab napenda madisco ya taarab
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.