Naungana na wewe Mkuu kiukweli huku mtaani Watoto wengi wanataabika kisa Wazazi kutengana huyo Mtoto mdogo hana dhambi yoyote busara itumike kwa maslahi mapana ya familia japo kiukweli inaumiza sana
Huyo hana jipya asamehewe tu ni katika kutafuta ugali wake inshort kafulia na hauziki kwenye udangaji kwa hiyo kimbilio pekee ni kusifu na kuabudu ili atleast apate japo hewa safi kijuso huyu
Kuna Mzee nimemuona kiukweli nimeshindwa kumuelewa kabisa kwa heshima niliyokua nampa sikutarajia kama anaweza kujidhalilisha kiasi cha kushiriki na kusifia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.