Recent content by dudus

  1. dudus

    Mlinda mlango wa Iran kuadhibiwa kwa kumkumbatia shabiki mwanamke

    Uhuru una mipaka Kiongozi.
  2. dudus

    Peter Kibatala: We need a Police to Police the Police

    Si sahihi kutaja majina ya watu hapa ila phd's police wapo. Masters ndio kabisa zipo za kutosha. Makamishna wengi ni master holders.
  3. dudus

    House4Sale Nyumba Inauzwa Vingunguti

    Vingunguti iko Ilala; Ilala ndio city proper. Real estate is not a joke.
  4. dudus

    House4Sale Nyumba Inauzwa Vingunguti

    11.62 x 11.62. Inauzwa nyumba sio eneo
  5. dudus

    House4Sale Nyumba Inauzwa Vingunguti

    Vingunguti bonde la mpunga karibu na Barakuda. Kaeleza vizuri.
  6. dudus

    Mlinda mlango wa Iran kuadhibiwa kwa kumkumbatia shabiki mwanamke

    Kosa #1 ni kutokimbia alipokuwa anakimbiliwa na hako kademu. Kosa #2 ni kukumbatia mwanamke hadharani. Kosa #3 ni kukumbatia asiye mke wake. Kosa #4 kuidhalilisha dini. Akikutikana na hatia anaweza kunyongwa.
  7. dudus

    IMF: Tanzania ni moja ya nchi 10 vinara zenye uchumi mkubwa zaidi Barani Afrika kwa mwaka 2024

    Ha ha ha! Jamaa hana taarifa kwamba uchumi wake ni bora nafasi ya 10 kuliko mwafrika mwingine yeyote akichaguliwa randomly.
  8. dudus

    Nini kinakuongoza kuzipenda ama kuzichukia Marekani na Israel?

    Neno KAFIR na ideology zake ni kati ya maneno ya kishenzi zaidi katika historia ya mwanadamu.
  9. dudus

    Nahitaji blender nzuri kwa mahitaji ya nyumbani

    Hivyo viwango ulivyoweka ni very contradictory; 1. Iwe imara sana; 2. Itumie umeme kidogo sana; 3. Iwe very cheap! Hakuna kifaa cha aina hiyo duniani.
  10. dudus

    Maajabu familia ya marehemu mkuu wa majeshi Kenya Leo anaagwa baba yake leo anatimiza miaka 100 ya kuzaliwa

    La ajabu hapo ni lipi? In terms of dates kila kitu chini ya Jua kiko confined within 365 days a year. Na kwa kuwa in the universe there are trillions of events confined within those 365 days, probability of events collision is 100%.
  11. dudus

    Niulize chochote kuhusu Nyuki na Asali

    Malkia ndiye final kwenye himaya; "siri zake" lazima zilindwe haswa kwa heshima yake na jamii husika. The best option ya kulinda siri hizo ni kifo tu kwa mhusika baada ya "kuzionja au kuziona". Sababu ndio hiyo.
  12. dudus

    Nakusudia kuanzisha Ranch/Kufuga ng’ombe wa nyama- Naomba ushauri

    Mh; umenichanga Mkuu. Mbuzi anayefikia uzito mkubwa kwa muda mfupi hafai kivipi? Nikajua ni kinyume chake. Ufafanuzi kama hutojali tafadhali.
  13. dudus

    Nakusudia kuanzisha Ranch/Kufuga ng’ombe wa nyama- Naomba ushauri

    Ngoja basi aanze kuzalisha ndio ajisajili! Makusanyo hadi kwenye mitaji?
  14. dudus

    Nakusudia kuanzisha Ranch/Kufuga ng’ombe wa nyama- Naomba ushauri

    Ebanaeee! Hapo mahali baridi lake sio poa! Hivi wanyama hawasikiagi baridi?
Back
Top Bottom