Jina lenyewe Lucifer maana yake malaika wa sifa; liliumbwa maalumu kwa ajili hiyo ila ndio hivyo kiburi kikalijaa likajihisi linaweza kufanya "mapinduzi" theluthi moja wakali-support.
Kilichofuata ni historia! Mbingu zilichafuka acha kabisa!
Daudi alivyokuwa "amechafuka kwa damu" Mungu alikataa asimjengee hekalu.
Badala yake, Suleiman, mwana wa Daudi, Mfalme wa Yerusalemu ndiye aliyepata kibali cha kumjengea Bwana Hekalu.
Kazi ni moja tu; kuserebuka katika mji ule wa dhahabu ambao mfano wake haujapata kuwepo. Ni mzuri kwa kiwango ambacho akili ya mwanadamu haikupata kuwaza!
Huo ndio ule mji ambao taa yake ni Mwanakondoo mwenyewe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.