Recent content by dudus

  1. dudus

    JamiiForums Tanzania Swali la msingi: Sheria ni Moja kwa wote?

    Rostam aliomba radhi ulimi uliteleza. Kinachomfanya Madeleka asiombe radhi ni nini?
  2. dudus

    JamiiForums Tanzania Hivi wauza bia huwa mnawauliza Wanamiaka mingapi kabla ya kuwauzia maana haiuzwi chini ya 18

    Kuna ulegelege sana usimamizi wa sheria ya vileo. Watu waoneshe vitambulisho vya taifa kabla ya kuuziwa pombe kithibitisha umri.
  3. dudus

    JamiiForums Tanzania Trump apiga ban wanaokwenda kujifungulia Marekani ili kupata uraia

    Wanatumia nguvu nyingi bila sababu. Si wabadili tu sheria kwamba ili uwe na haki ya uraia wa Marekani lazima angalau mmoja wa wazazi awe raia.
  4. dudus

    JamiiForums Tanzania Indegazette: Tume ya Lila Yakabiliwa na Mtihani wa Kubaini Waliowezesha Vurugu za Uchaguzi Tanzania

    ... ameshangaa kwa sababu jina Warioba limekuwa kama icon ya mtu fulani. Kumbe na wengine wanalitumia pia.
  5. dudus

    JamiiForums Tanzania Indegazette: Tume ya Lila Yakabiliwa na Mtihani wa Kubaini Waliowezesha Vurugu za Uchaguzi Tanzania

    Ndio. Shida iko wapi?
  6. dudus

    JamiiForums Tanzania Mdogo wangu Eeh! Kuoa mwanamke ambaye familia yake imekuzidi kila kitu ni mtihani sana. Usithubutu!

    Unataka kumwambia nini Yunge? Kupewa neno na Rostam akiwa mwalikwa wa kawaida tu mbele ya baba mkwe kwenye shughuli inayokuhusu ni mjinga tu atathubutu kupoteza hiyo fursa eti kisa usioe mwanamke aliyekuzidi!
  7. dudus

    JamiiForums Tanzania Tulia uko wapi mbona husemu neno?. Mwakalenga jana katapeliwa

    Hiyo inaitwa loan security kuulinda mkopo wako! 🤣🤣🤣
  8. dudus

    JamiiForums Tanzania Ndugu Yangu Amekataa Kumrithisha Mke Wake Mali Amedai Sio Ndugu Yake wa Damu Amewarithisha Watoto Wao Amedai Ndio Ndugu zao wa Damu

    Baadhi ya desturi (angalau vizazi vya nyuma kidogo) zina options mbili ikitokea mume ametangulia kufariki (which is the most common), mjane aolewe na ndugu wa marehemu au aondoke zake bila chochote. Hiyo option ya kwanza ililenga kuhakikisha mali na urithi alioacha marehemu hauendi familia...
  9. dudus

    JamiiForums Tanzania Natamani kula nyama pori nani mwenye kibali cha kuuza nyama pori kwa hapa Dodoma na anapatika maeneo gani

    Kwao ni dili; hawapotezi fursa iliyojileta yenyewe. Nahisi kuna kamisheni wanapata kama sio promosheni.
  10. dudus

    JamiiForums Tanzania Mwanamke anaedaiwa kuwa mchawi adondoka kutoka angani na kuzua taharuki jijini Arusha

    The Witchcraft Act! Iko toka mkoloni hiyo alitambua ushirikina ulivyowajaa wana wa pande hizi.
  11. dudus

    JamiiForums Tanzania Mwanamke anaedaiwa kuwa mchawi adondoka kutoka angani na kuzua taharuki jijini Arusha

    Hao uliowataja si ndio wanapewa sifa zote za ulimbwende nchi hii? Kuanzia rangi, figures, etc. Imekuwaje tena waongoze kwa ushirikina tena wa mchana kweupe?
  12. dudus

    JamiiForums Tanzania Natamani kula nyama pori nani mwenye kibali cha kuuza nyama pori kwa hapa Dodoma na anapatika maeneo gani

    Bila kibali nyara za serikali hizo kaka! Miaka 20 bila parole inakuhusu hata kama ni nusu kg.
  13. dudus

    JamiiForums Tanzania Iran imeshambulia nchi zote isipokuwa Israel je wajua kwa nini?- Benjamin Netanyahu

    Sijaelewa maana ya kushambulia! Makombora kadhaa ya Iran yametua Tel Aviv, Haifa, na kwingineko. Ni ghiliba za kisiasa ahead of the upcoming general election I suspect!
  14. dudus

    JamiiForums Tanzania Tumetoka mbali: Mada maalum ya matukio ya zamani

    Dah! Hii chombo ikiwa inaianza Kitonga pale chini tunaisikia Iringa Mjini inafika baada ya masaa manne!
Back
Top Bottom