Unataka kumwambia nini Yunge? Kupewa neno na Rostam akiwa mwalikwa wa kawaida tu mbele ya baba mkwe kwenye shughuli inayokuhusu ni mjinga tu atathubutu kupoteza hiyo fursa eti kisa usioe mwanamke aliyekuzidi!
Baadhi ya desturi (angalau vizazi vya nyuma kidogo) zina options mbili ikitokea mume ametangulia kufariki (which is the most common), mjane aolewe na ndugu wa marehemu au aondoke zake bila chochote.
Hiyo option ya kwanza ililenga kuhakikisha mali na urithi alioacha marehemu hauendi familia...
Hao uliowataja si ndio wanapewa sifa zote za ulimbwende nchi hii? Kuanzia rangi, figures, etc. Imekuwaje tena waongoze kwa ushirikina tena wa mchana kweupe?
Sijaelewa maana ya kushambulia! Makombora kadhaa ya Iran yametua Tel Aviv, Haifa, na kwingineko. Ni ghiliba za kisiasa ahead of the upcoming general election I suspect!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.