Recent content by dudus

  1. dudus

    JamiiForums Tanzania Tulia uko wapi mbona husemu neno?. Mwakalenga jana katapeliwa

    Hiyo inaitwa loan security kuulinda mkopo wako! 🤣🤣🤣
  2. dudus

    JamiiForums Tanzania Ndugu Yangu Amekataa Kumrithisha Mke Wake Mali Amedai Sio Ndugu Yake wa Damu Amewarithisha Watoto Wao Amedai Ndio Ndugu zao wa Damu

    Baadhi ya desturi (angalau vizazi vya nyuma kidogo) zina options mbili ikitokea mume ametangulia kufariki (which is the most common), mjane aolewe na ndugu wa marehemu au aondoke zake bila chochote. Hiyo option ya kwanza ililenga kuhakikisha mali na urithi alioacha marehemu hauendi familia...
  3. dudus

    JamiiForums Tanzania Natamani kula nyama pori nani mwenye kibali cha kuuza nyama pori kwa hapa Dodoma na anapatika maeneo gani

    Kwao ni dili; hawapotezi fursa iliyojileta yenyewe. Nahisi kuna kamisheni wanapata kama sio promosheni.
  4. dudus

    JamiiForums Tanzania Mwanamke anaedaiwa kuwa mchawi adondoka kutoka angani na kuzua taharuki jijini Arusha

    The Witchcraft Act! Iko toka mkoloni hiyo alitambua ushirikina ulivyowajaa wana wa pande hizi.
  5. dudus

    JamiiForums Tanzania Mwanamke anaedaiwa kuwa mchawi adondoka kutoka angani na kuzua taharuki jijini Arusha

    Hao uliowataja si ndio wanapewa sifa zote za ulimbwende nchi hii? Kuanzia rangi, figures, etc. Imekuwaje tena waongoze kwa ushirikina tena wa mchana kweupe?
  6. dudus

    JamiiForums Tanzania Natamani kula nyama pori nani mwenye kibali cha kuuza nyama pori kwa hapa Dodoma na anapatika maeneo gani

    Bila kibali nyara za serikali hizo kaka! Miaka 20 bila parole inakuhusu hata kama ni nusu kg.
  7. dudus

    JamiiForums Tanzania Iran imeshambulia nchi zote isipokuwa Israel je wajua kwa nini?- Benjamin Netanyahu

    Sijaelewa maana ya kushambulia! Makombora kadhaa ya Iran yametua Tel Aviv, Haifa, na kwingineko. Ni ghiliba za kisiasa ahead of the upcoming general election I suspect!
  8. dudus

    JamiiForums Tanzania Tumetoka mbali: Mada maalum ya matukio ya zamani

    Dah! Hii chombo ikiwa inaianza Kitonga pale chini tunaisikia Iringa Mjini inafika baada ya masaa manne!
  9. dudus

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi juu ya haki ya mjukuu kurithi mali ya babu/bibi yake

    Wala dogo hana mpango wa kuvuruga familia! Ombi lake ni rahisi sana; mali iuzwe, igawanywe mafungu matatu (sawa na idadi ya watoto alioacha marehemu babu); yeye na ndugeze wa kuzaliwa wakabidhiwe fungu moja ambalo ni haki ya marehemu mzazi wao. Dogo anaongea kwa logic sana. Shida ni baba zake...
  10. dudus

    JamiiForums Tanzania Ni eneo gani litakuwa 'Masaki mpya' ya Dar es Salaam ndani ya miaka 10 ijayo?

    Bonyokwa pa moto sana!
  11. dudus

    JamiiForums Tanzania Lagos, Nigeria yakabiliwa na wimbi kubwa la ombaomba wa mabavu.

    Hao bado sana kwa panya road &co. Vyombo vyao vya usalama wakajifunze Bongo - siku mbili tu jiji litakuwa shwari hilo.
  12. dudus

    JamiiForums Tanzania KERO Air Tanzania imeondoka na abiria wengine, wametuzuia watano, tunaambiwa kuna 'Technical Problem', hii ni sawa?

    Kuna P, IP, VIP, na VVIP. Huyo anayelalamika anaangukia kundi gani kati ya hayo? Majibu yakipatikana atajuzwa kwanini waliachwa.
  13. dudus

    JamiiForums Tanzania Kama maridhiano hayana nia Ya kufichua waovu na kuwajibishwa stay way from that nonsense

    Kanuni muhimu ya maridhiano ya kweli ni YALIYOPITA SI NDWELE, TUGANGE YAJAYO. Tofauti na hayo ni kitu kingine sio maridhiano.
  14. dudus

    JamiiForums Tanzania Je, akili au ufahamu (consciousness) wa binadamu unatoka wapi ndani ya mwili?

    There exists, supreme power somewhere that controls and regulates everything in the universe. Hizo unknown who? What? Why? Where? When? How unazojiuliza bila kupata majibu; are regulated by that power!
Back
Top Bottom