Recent content by dudus

  1. dudus

    Trump aibadili jina Wizara ya Ulinzi Marekani kuwa Wizara ya Vita

    Kuna faida au hasara gani za hiko alichofanya?
  2. dudus

    Kim Ju Ae mtoto wa Kim Jong Un ni mtoto mwenye uwezekano mkubwa" wa kumrithi Kim Jong Un

    Katoto karembo kweli kweli guu guu sio mchezo. Ila roho sasa; shetani arudi darasani kujifunza maana halisi ya roho mbaya! Neno UPENDO halimo kabisa moyoni mwake.
  3. dudus

    Jeshi La Israel, IDF,Sasa Hivi Latumia "Suicide Drones" Kuua Magaidi Wengi Wa Hamas Huko Gaza

    Yale ya kule Yemen yametulia tuli kama maji ya mtungini baada ya dafrau lisilotegemewa la juzi kati.
  4. dudus

    Al Qaasam Brigade spokesperson, Abu Ubaida Is No more

    Mayahudi vita wanavipenda na wanaviwezea! Viumbe vya aina hii unavitishaje kwa vita labda? Viumbe ambavyo bila vita kwao hakuna maisha?
  5. dudus

    Wavu imara kutoka Mifugo Plus

    Wavu imara => mifugo plus! What is this for? Elimu kwa umma ni jukumu la mwenye biashara. Elimu tafadhali!
  6. dudus

    Kwanini kwenye Biblia hatuwaoni Wasanii bali tunaona Wanasiasa, Wanajeshi, Wanasheria, Waandishi, Mapolisi na Watoza Ushuru?

    Jina lenyewe Lucifer maana yake malaika wa sifa; liliumbwa maalumu kwa ajili hiyo ila ndio hivyo kiburi kikalijaa likajihisi linaweza kufanya "mapinduzi" theluthi moja wakali-support. Kilichofuata ni historia! Mbingu zilichafuka acha kabisa!
  7. dudus

    Kwanini kwenye Biblia hatuwaoni Wasanii bali tunaona Wanasiasa, Wanajeshi, Wanasheria, Waandishi, Mapolisi na Watoza Ushuru?

    Daudi alivyokuwa "amechafuka kwa damu" Mungu alikataa asimjengee hekalu. Badala yake, Suleiman, mwana wa Daudi, Mfalme wa Yerusalemu ndiye aliyepata kibali cha kumjengea Bwana Hekalu.
  8. dudus

    Kwanini kwenye Biblia hatuwaoni Wasanii bali tunaona Wanasiasa, Wanajeshi, Wanasheria, Waandishi, Mapolisi na Watoza Ushuru?

    Kazi ni moja tu; kuserebuka katika mji ule wa dhahabu ambao mfano wake haujapata kuwepo. Ni mzuri kwa kiwango ambacho akili ya mwanadamu haikupata kuwaza! Huo ndio ule mji ambao taa yake ni Mwanakondoo mwenyewe!
  9. dudus

    Kwanini kwenye Biblia hatuwaoni Wasanii bali tunaona Wanasiasa, Wanajeshi, Wanasheria, Waandishi, Mapolisi na Watoza Ushuru?

    Tena kitabu kizima ni nyimbo. Zaburi bonge la kitabu ni mashairi tupu! Sijui anazungumzia wasanii wa wapi huyu.
  10. dudus

    Kwanini kwenye Biblia hatuwaoni Wasanii bali tunaona Wanasiasa, Wanajeshi, Wanasheria, Waandishi, Mapolisi na Watoza Ushuru?

    Suleima Mfalme siku ya uzinduzi wa hekalu aliimba hadi nguo "zikamruka".
  11. dudus

    Kwanini kwenye Biblia hatuwaoni Wasanii bali tunaona Wanasiasa, Wanajeshi, Wanasheria, Waandishi, Mapolisi na Watoza Ushuru?

    Naam; Makerubi hawajui kazi nyingine zaidi ya kuinama mbele ya Kiti cha Enzi kwa nyimbo kuu za sifa!
Back
Top Bottom