Baadhi ya desturi (angalau vizazi vya nyuma kidogo) zina options mbili ikitokea mume ametangulia kufariki (which is the most common), mjane aolewe na ndugu wa marehemu au aondoke zake bila chochote.
Hiyo option ya kwanza ililenga kuhakikisha mali na urithi alioacha marehemu hauendi familia...
Hao uliowataja si ndio wanapewa sifa zote za ulimbwende nchi hii? Kuanzia rangi, figures, etc. Imekuwaje tena waongoze kwa ushirikina tena wa mchana kweupe?
Sijaelewa maana ya kushambulia! Makombora kadhaa ya Iran yametua Tel Aviv, Haifa, na kwingineko. Ni ghiliba za kisiasa ahead of the upcoming general election I suspect!
Wala dogo hana mpango wa kuvuruga familia! Ombi lake ni rahisi sana;
mali iuzwe, igawanywe mafungu matatu (sawa na idadi ya watoto alioacha marehemu babu);
yeye na ndugeze wa kuzaliwa wakabidhiwe fungu moja ambalo ni haki ya marehemu mzazi wao.
Dogo anaongea kwa logic sana. Shida ni baba zake...
There exists, supreme power somewhere that controls and regulates everything in the universe.
Hizo unknown who? What? Why? Where? When? How unazojiuliza bila kupata majibu; are regulated by that power!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.