Recent content by dudumizi09

  1. dudumizi09

    Mchungaji Lusekelo: Wachagga walipata Uhuru kutoka kwa Ujerumani kabla ya Tanganyika na Walikuwa na Bendera yao!

    Wakati Tanganyika inapata Uhuru kulikuwa na Watanganyika watatu waliotegemewa kupata Urais Kadiri Ya CIA cable ya mid 50s iliyoandaliwa na shushushu maarufu wa enzi hizo ambaye baadaye alikuwa waziri wa nje enzi ya Reagan , FRANK CARLUCCI watanzania Julius Nyerere MANGI Thomas Marealle Chifu...
  2. dudumizi09

    Wapenzi wa jbl (Bose Anker okyo Sony wonderboom)

    Hiki unaweka hata mfukoni Naamini ni Mini speaker Bora kabisa kana mkito wa Maana
  3. dudumizi09

    Mwenye kuzielewa Submeter za Umeme aje hapa

    Huyo mpangaji yeye anatumia aina ipi ya submeter?
  4. dudumizi09

    Mwenye kuzielewa Submeter za Umeme aje hapa

    Kwa maana hiyo hizo submeter ni lazima wapangaji wote wafunge akifunga mpangaji mmoja haina maana kwa maana ikitokea wenzako ambao hawajafunga wakimaliza unit zao wataendelea kutumia za kwako.. Kingine kwa maelezo yako hizo submeter lazima zinahitaji mtu atakae kuwa ana zi monitor (Adimin) Je...
  5. dudumizi09

    Ramani, Makadirio, Elimu na Ushauri kuhusu Ujenzi

    Mkuu nimejenga eneo ambalo lina magadi sana sasa baada ya kupiga plasta unyevu ma magadi unapanda sana na unapelekea rangi kubanduka Nifanye nini kudhibiti hili?
  6. dudumizi09

    Vifaa muhimu kwenye hardware

    Huu ni ushauri bora sana Asante sana mkuu hapa nitajua nianze kuchekecha vipi ntakutafuta kwa ushauri zaidi
  7. dudumizi09

    Vifaa muhimu kwenye hardware

    Asante sana mkuu nitafanyia kazi ushauri wako
  8. dudumizi09

    Vifaa muhimu kwenye hardware

    Laiti Ningepata Mtu Akanipa list bidhaa ingenisaidia sana kufanya tathimini
  9. dudumizi09

    Vifaa muhimu kwenye hardware

    Asante mkuu kwa ushauri wako Je wewe una experience ya hii biashara
  10. dudumizi09

    Vifaa muhimu kwenye hardware

    Asante mkuu ila nikiweka cement, bati za bando na Gypsam board Kwa 5m ntatoboa kweli
  11. dudumizi09

    Vifaa muhimu kwenye hardware

    Habari wakuu Samahani sana Mimi nina mtaji mdogo wa 5m Ila nahitaji ni fungue hardware itakayo kuwa na vifaa vidogo vidogo vitakavyo endana na bajeti yangu Naomba kama kuna mtu yoyote mwenye list ya vifaa vya hardware anitumie ili inisaidie kufanya tathimini Lengo ni kuanza na bajeti ya 5m...
  12. dudumizi09

    Mtandao wa Airtel unatumika na matapeli. Tunaibiwa pesa kwenye Airtel Money

    Airtel haifai kabisa kuna siku Tapeli limenipigia simu baada ya kulishtukia likanitukana na mm nikalitukana tusi kubwa lililo muumiza zaidi likaniambia Ngoja niitoe hii 826,000/= Nikashtuka nikakata simu kiukweli nilikosa amani na kuihamisha hela kwenye mtandao mwingine chap Nikajiuliza huyu...
  13. dudumizi09

    Nina mtaji wa milioni kumi; nifanye biashara ipi kati ya hizi nilizochagua?

    Mkuu Biashara ya vyombo vya nyumbani ina faida nzuri ya mpaka 45% ila changamoto yake ni mzunguko Kwahiyo hapo lazima uzingatie sana location Mf. Eneo ambalo lina hostel za wanachuo, au kambi ya jeshi au eneo lenye mwingiliano mkubwa wa watu wanao enda na kutoka majumbani mwao Vile vile...
  14. dudumizi09

    Kinachoendelea GAZA idadi ya vifo vinavyoorodheshwa ni uongo mtupu!

    Hata hueleweki umeandika nini... Embu kanywe maji kwanza vutapumzi mara tatu kisha urudie kuandika
  15. dudumizi09

    Familia ya Aziz Abood inavyoishi kwa amani, waswahili tusingeweza tungeuana mchana kweupe

    Pacal kwani suala la kwamba ni mtoto wa nje ya ndoa tena mtu mzima kama yule hilo nalo ni siri za familia? Suala la nani ni mmiliki halali wa mali nalo ni privacy?
Back
Top Bottom