Recent content by duche

  1. D

    GE2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

    Kwani mwandishi akiandika taarifa za uongo katika tukio kama hili adhabu yake ni nini?
  2. D

    Meli ya MV Spice Islander, yazama ikelekea Pemba; wengi wahofiwa kupoteza maisha

    Pamoja na kutoa pole kwa wafiwa katika ajali ya meli SPICE ISLANDERS, je meli hii ilikuwa inakidhi viwango? Hizi ajali zinaongezeka kila mara huko znz. MKUU WA BANDARI ZANZIBAR UPOOO........
  3. D

    Tunataka katiba mpya, hiyo iliyopo wangapi wameisoma?

    Hiyo katiba iliyopo inayompa Rais umungu mtu hatuitaki, kwani unatakiwa usome katiba ndiyo ujue shida zako?? So long as wananchi wanaelewa wanavyodhulimiwa na serikali inayowaongoza, katiba mpya ni LAZIMA...
  4. D

    DOWANS (BEHIND THE SHADOWS): What you were not supposed to know...!

    Kila siku tunaomba AMANI katika nchi yetu wakiwemo viongozi wakuu kumbe fix tupu. Hii chorichori sasa basi, bora tukose wote.
  5. D

    Mhariri aliyesema DR. SLAA WILL NEVER BE A PRESIDENT yuko katika msukosuko!

    Sasa kama anaenda na waganga kufanya ulozi ofisini amechanganyikiwa. Ashindwe na alegee..:angry::angry:
  6. D

    Kukemea ufisadi kwamponza Sumaye

    Hivi hawa ccm walizaliwa kututawala milele? Hata soni hawaoni, mtu anakemea ufisadi na kuwashauri mema watz, wao kwao ni SOOO..... Nyerere alisema "ccm siyo mama yangu", Sumaye fanya kweli.........:A S 103::A S 103:
  7. D

    GE2010 PICHA: Mwanza Yalipuka - Mkutano wa Slaa

    Bandugu mbona hiyo picha mimi siioni, au ndiyo wamechomoa tayari?:whistle:
Back
Top Bottom