Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Tusiende kwa mkumbo tu. Seriously ukiwauliza wana JF, at least walio na elimu ya shahada, kuwa ni wangapi wana kopi ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kitakuwa ni kichekesho kwa kugundua kuwa hawatafika hata 20.
Nunua katiba muisome, vinginevyo mtaumbuka mkijidai kuchangia mada na weledi.
Nunua katiba muisome, vinginevyo mtaumbuka mkijidai kuchangia mada na weledi.