Hivi TUGHE hamzioni barua za vitisho toka kwa waajiri kuwalazimisha watumishi na wanafunzi kuhudhuria mikutano ya kampeni ya mgombea wa CCM?
Barua za waajiri zinawataka watumishi kuhudhuria mikutano hiyo na mahudhurio kuchukuliwa uwanjani. Hii ni kinyume na utaratibu.
TUGHE kama shirikisho...
Mbowe alikuwa anajua anamshinda Lissu tena mpaka idadi ya kura. Na timu yake wakawa wanatamba hakuna kuhama chama na Kuna wanaCCM walisema Mbowe hawezi kushiriki uchaguzi ndani ya chama anaojua anashindwa akaweka na uchaguzi ulio huru kwa kujiamini kabisa. Nani Sasa alibadilisha kura za Mbowe...
Hii ni Tanzania ya maigizo. We mkulima wa Kongwa utaona kwenye msiba wa ndugu yenu Ndugai watakuja na hizo V8 zenye plate namba zinazoanza na W.. au NW. Wakati wa kampeni watatoa hizo plate namba na kupandika stika hizo V8 gari nzima kijani kama zile coaster za Yanga. Ilitakiwa hata nyumba za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.